Zipo njia mbili za kuweza kutumiwa na Mwombaji Kujisajili:-
1) Usajili kwa njia ya Mtandao.
2) Usajili kwa njia ya kawaida.
Wageni Wakaazi wenye umri wa miaka 18 na zaidi wanaoishi nchini Tanzania kulingana na hati ya ukaazi wanaarifiwa kujitokeza Kusajiliwa kwa mujibu wa sheria ya Usajili na Utambuzi wa watu kwenye ofisi ya
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa imefanikiwa kuanza utaratibu wa kusajili Watanzania wanaoishi nje ya nchi ambapo kwa kuanzia Mamlaka iliendesha zoezi la Usajili wa Diaspora waishio Marekani
unaweza kutumia Namba yako ya Utambulisho wa Taifa (NIN)/Kitambulisho cha Taifa (NID) kupata huduma nyingi za kijamii, kiuchumi na kiusalama katika maeneo mbalimbali:-
Mambo ya msingi ambayo mwananchi anapaswa kuyazingatia ili aweze kurekebishiwa taarifa za usajili kama:
1. Majina 2. Tarehe na mwezi wa kuzaliwa
Kuna hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa na mwombaji aliyepoteza Kitambulisho cha Taifa ili kupatiwa kingine na kuna gharama kidogo mwombaji atatakiwa kuchangia:-
Barua Pepe
info@nida.go.tz
0232210500
Jumatatu - Ijumaa
01:30 asubuhi - 09:30 alasiri
Fanya usajili wa awali kwa njia ya mtandaoni ili kuokoa muda.Huduma hii ni kwa ajili ya Raia na Mgeni Mkaazi.
Huduma hii inakuwezasha kufahamu namba yako ya utambulisho wa Taifa(NIN) kwa kujaza fomu fupi ya taarifa zako na kuwasilisha..
Huduma hii inamuwezesha muombaji wa Kitambulisho cha Taifa kujua hali ya maombi yake.Pia kupata taarifa iwapo kuna hatua zozote za kufuata kwa maombi yaliyokwama.
Huduma hii inakuwezesha kujihudumia kwa kutengeneza kumbukumbu namba ya malipo ya serikali kwa huduma ya waliopoteza kitambulisho na kwa maombi ya usajili kwa wageni wakaazi.
Huduma hii ni mahususi kwa wadau wetu kwa ajili ya kufanya uhakiki wa wateja wao na kuhakiki miamala.
Huduma hii inakuwezesha kujisajili kuwa mdau wa NIDA ili upate huduma za ushirikishanaji taarifa.
Na: Agnes Gerald – NIDA.Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA inaendelea kuwahimiza Vijana wanaofikisha miaka 18 na makundi mengine pia Kujisajili Kimtandao kupitia https://eonline.nida.go....
Na: Calvin Minja – NIDA.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim kwa kushirikiana na Wizara kuhak...
Na: Mwandishi wetu – NIDA.Unapozungumzia suala la Usajili na Utambuzi wa Watu Nchini bila shaka utakuwa pia unaizungumzia Taasisi ya Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) iliyo chini ya ...
Na: Mwandishi wetu – NIDA.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Vitambulisho vya Taifa havitakuwa na muda ukomo wa matumizi....
Na: Agnes Gerald – NIDA.Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeahidi kutoa ushirikiano kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili iweze kutekeleza vema majukumu yake ya Usajili na Uta...
Na: Agnes Gerald – NIDA.Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA inaendelea kuwahimiza Vijana wanaofikisha miaka 18 na makundi mengine pia Kujisajili Kimtandao kupitia https://eonline.nida.go....
Na: Calvin Minja – NIDA.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa Kassim kwa kushirikiana na Wizara kuhak...
Na: Mwandishi wetu – NIDA.Unapozungumzia suala la Usajili na Utambuzi wa Watu Nchini bila shaka utakuwa pia unaizungumzia Taasisi ya Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) iliyo chini ya ...
Na: Mwandishi wetu – NIDA.Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Vitambulisho vya Taifa havitakuwa na muda ukomo wa matumizi....
Na: Agnes Gerald – NIDA.Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, imeahidi kutoa ushirikiano kwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili iweze kutekeleza vema majukumu yake ya Usajili na Uta...
Na: Agnes Gerald – NIDA.Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA inaendelea kuwahimiza Vijana wanaofikisha miaka 18 na makundi mengine pia Kujisajili Kimtandao kupitia https://eonline.nida.go....