Miaka 60 ya Muungano NIDA
Yawa Ufunguo wa Maendeleo Nchini Na: Agnes Gerald – NIDA Miaka 60 ya Muungano NIDA Yawa Ufunguo wa Maendeleo Nchini Na: Agnes Gerald – NIDA Suala la kutambua watu kielektroniki katika dunia ya leo haliepukiki kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia yanayoshika kasi na kuifanya dunia kuwa kama kijiji. Jambo hili linaleta ulazima kwa…
MoreNIDA Yatoa Elimu ya Usajili Maonesho ya Muungano
Na: Agnes Gerald – NIDA Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imetoa elimu kuhusu Usajili na Utambuzi wa Watu kwa wananchi waliotembelea banda la NIDA kwenye Maonesho ya Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano. Akielezea ushiriki wa NIDA katika maonesho hayo yanayofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam, Afisa Habari Mkuu, wa NIDA,…
MoreNIDA Yashiriki Muungano Zanzibar
Na Calvin Minja Kuelekea miaka 60 ya Muungano wa Tanzania Bara na Zanzibar, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeshiriki halfa ya uzinduzi wa maadhimisho hayo yenye kaulimbiu “Tumeshikamana na Tumeimarika kwa Maendeleo ya Taifa” uliofanyika Nyamanzi, Zanzibar. Halfa hiyo imezinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi…
MoreTaarifa Kwa Umma
2024
2024
2024
Tufuatilie