Fahamu namna ya kujaza fomu ya maombi ya Utambulisho wa Taifa

Comments on “Fahamu namna ya kujaza fomu ya maombi ya Utambulisho wa Taifa”

  1. Nicodemus Kayange says:

    Nataka kurekebisha taarifa zangu online nifanyaje?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Huwezi kurekebisha taarifa yoyote online. Tafadhali nenda Ofisi ya NIDA Wilaya uliyopo kwa Maelekezo na msaada zaidi

  2. YOSHUA SIMIONI GOTORA says:

    kama ulijaza taarifa hizo baada ya muda ukaipeleka ila tofauti na tarehe uliojaza form

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Haina shida ili mradi taarifa ni sahihi

  3. KENNEDY MCHARO says:

    Wakati najisajili nilikua wilaya na mkoa mwingine ila kwa sasa nime hama kabisa sikai hiyo wilaya nime hamia kwingine nina hitaji kubadilisha taarifa kuwa za wilaya na mkoa ninao kaa kwa sasa,nitafanyaje katika hali kama hii?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      Unatakiwa kufika kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA katika wilaya unakoishi sasa na barua ya Serikali ya Mtaa ulikotoka na unakoishi sasa kwa hatua zaidi.

      Utapatiwa Namba ya malipo ya Serikali ili uchangie huduma hiyo – shilingi TZS 20,000/=

      Shukrani na karibu kuwasiliana nasi.

  4. Neema Kiwelu says:

    Wale tuliojiandikisha 2020 vitambulisho vyetu tunavipata lini?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali unashauriwa kufika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID kwa haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

  5. Almss mhamrd says:

    Naomba mnipe fom niweze kujaza ili nipate kitambulisho

    1. Geofrey Tengeneza says:

      SalaamNDg. unaweza kupakua fomu ya Usajili kupitia kiunganishi hiki:- https://nida.go.tz/swahili/wp-content/uploads/2019/07/APPLICATION-FORM-2A-NIDA.pdf

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Ukurasa wetu wa Facebook

Ramani ya Ofisi Zetu