NAMBA ZA KITUO CHA HUDUMA KWA MTEJA

Karibu Uwasiliane nasi!

Comments on “NAMBA ZA KITUO CHA HUDUMA KWA MTEJA”

  1. Abushiri Ibrahim says:

    Mtu Mwenye Namba ya Nida 20010508613010000117
    Ameangusha Wallet yake ambayo imeokotwa Na Rafiki Yangu anayeishi Dar es Salaam. Hivyo kama kutakuwa na uwezekano mnitumie Namba yake ili Tuweze kumpatia kwa wakati.
    Namba yangu ni 0747450462.

    Asanteni

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali ripoti polisi, kisha polisi watawasiliana na NIDA juu ya kupata mawasiliano ya mhusika, hivyo wewe ukiwa kama raia mwema unaweza kuendelea kufanya ufuatilia ji polisi ili kujiridhisha iwapo mhusika amepatiwa wallet yake. shukrani.

  2. Naetwe Eliejenja Ahia says:

    neemakihoko@gmail.com
    Nahitaji nakala ya kitambulisho changu cha nida ili nikitoe copy niwe na hard copy

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam ndg,
      Huduma ya Nakala Tepe Mtandaoni
      Huduma ya nakala tepe ya mtandao (nid online copy) imesitishwa kitambo.
      tafadhali piga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666, ili kufahamu iwapo namba ya utambulisho wa taifa (nin)/kitambulisho chako cha taifa kimeshazalishwa au fika kwenye ofisi ya usajili ya nida ulikosajiliwa ama iliyo karibu nawe.
      aidha huduma mbalimbali za kijamii kwa sasa zinatolewa kupitia namba ya utambulisho wa taifa (nin) kwa ambao bado hawajapatiwa vitambulisho vyao.
      tunakushukuru kuwasiliana nasi.

  3. Mohammed says:

    Naitaji kupata namba ya mida

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg,

      Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa

      Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
      Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
      Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
      Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
      Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.

      Shukran.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Haji, karibu kwenye ukurasa wetu wa tovuti tukuhudumie. Shukrani.

    2. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Haji, karibu kwenye ukurasa wetu wa Tovuti tukuhudumie. Shukrani.

  4. Catherine mhagama says:

    Nataka kujua namba ya nida nikiandika taarifa inagoma kuleta na nipo mbali na nilipo sajiliwa

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Unaweza kupiga namba zetu za Kituo cha Huduma kwa Mteja, ama ukafika kwenye ofisi yoyote ya Usajili ya NIDA kwa msaada zaidi. Shukrani.

    2. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali rejea jibu tulilokupatia leo.

  5. RASHIDI OMARI says:

    Shida yangu Ni kwamba nilijiandkisha mwaka 2018 mkoani Rukwa nikiwa masomoni yaan kidato cha tano. Mim Ni mkazi wa dar kwa Sasa nipo morogoro. Nimejarbu kufatilia taarfa za kitambulisho changu hakuna. Mwaka 2019 nikaamua nianze kujiandikisha upya nikiwa dar katk ofisi zilizopo temeke chang’ombe. Nikafka hdi hatua ya mwsho wananambia Kama ulishawah kujiandikisha hautakiw kupga Tena picha fatilia kile kwanza. Hadi hvi cjapata taarfa zangu na istoshe na Mimi taarfa nimezisahau na pia kulkuwa na shida ya jina kwny cheti Cha kuzaliwa na vyeti vya shule. Hvyo naomba ushairi wenu nn Cha kufanya niende ofisini Tena nikajiandikishe upya au

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. TAfadhali fuata maelekezo unayopatiwa. taarifa ni za kwako si rahisi kuzisahau zote. jitahidi kutoa ushirikiano unaotakiwa ili uweze kusaidika. Shukrani.

  6. Tong'i Douglas says:

    kitambulisho nilikipata cha nida lakini kuna erufi moja kwenye jina halipo

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tong, tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe kwa uhakiki. iwapo nyaraka zilizoko kwenye mfumo zitajitosheleza ataendelea na utaratibu wa kubadilisha na iwapo hazijitoshelezi atakushauri unachopaswa kufanya hivyo hakikisha unatoa ushirikiano. Shukrani.

    2. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali rejea majibu tuliyokupatia leo. Shukrani.

  7. Clement says:

    Naomba msaada wa kupata namba ya nida kwani nikituma kama mlivyo toa maelekezo kwenye no.15096 naletewa meseji kwamba unable to fetch NIN from NIDA sasa kama njia nyingine ya kupata no.hio naomba mnisaidie kwani ofisi ya usajili ipo mbali na sehemu ninayoishi.Tafadhari ninashida sana na hio no.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Pole Ndg. Clement kwa changamoto uliyokumbana nayo, unaweza kufika kwenye ofisi yoyote ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe kwa msaada zaidi. Shukrani.

  8. Clement says:

    Nauliza hivi mfano nilijiandikisha mkoa tofauti na nilipo kwa sasa je, naweza kwenda ofisi za nida wilaya hii niliopo sasa na nikapewa no.ya nida?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Clement, Inawezekana.

  9. Samuel Ryoba says:

    Naomba kufahamu Kama mnatoa vitambulisho vya muda wakati nikifanya mchakato wa kupata kipya baada ya Cha awali kupoteza. Pia ningependa kujua huchukua muda gani kupata kitambulisho
    baada ya kutimiza masharti yote?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam ndg,
      Huduma ya Nakala Tepe Mtandaoni
      huduma ya nakala tepe ya mtandao (nid online copy) imesitishwa kitambo.
      tafadhali piga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666, ili kufahamu iwapo namba ya utambulisho wa taifa (nin)/kitambulisho chako cha taifa kimeshazalishwa au fika kwenye ofisi ya usajili ya nida ulikosajiliwa ama iliyo karibu nawe.
      aidha huduma mbalimbali za kijamii kwa sasa zinatolewa kupitia namba ya utambulisho wa taifa (nin) kwa ambao bado hawajapatiwa vitambulisho vyao.
      tunakushukuru kuwasiliana nasi.
      Kuhusiana na muda:-Walau ndani ya miezi mitatu. muda unaweza kuzidi ama kupungua kutegemea na wingi ama uchache wa maombi yaliyotangulia kuwasilishwa awali, ingawaje mpango wa mbeleni ni Kuhakikisha ndani ya wiki mbili tunakamilisha ombi la mteja.

  10. Joseph says:

    Samahani nahitaji copy
    ya kitambulisho chngu
    cha NIDA.namba ninayo

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam ndg,
      Huduma ya Nakala Tepe Mtandaoni
      huduma ya nakala tepe ya mtandao (nid online copy) imesitishwa kitambo.
      tafadhali piga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666, ili kufahamu iwapo namba ya utambulisho wa taifa (nin)/kitambulisho chako cha taifa kimeshazalishwa au fika kwenye ofisi ya usajili ya nida ulikosajiliwa ama iliyo karibu nawe.
      aidha huduma mbalimbali za kijamii kwa sasa zinatolewa kupitia namba ya utambulisho wa taifa (nin) kwa ambao bado hawajapatiwa vitambulisho vyao.
      tunakushukuru kuwasiliana nasi.

  11. Joseph says:

    Samahani nahitaji kupata nida
    ID card online download.nina
    Namba tiar

  12. Hashimu Juma Sudi says:

    Naitwa Hashimu Sudi
    Nilijiandikisha nikiwa morogoro Mzumbe nikiwa mwanafunzi, nimehitimu saizi nipo Mtwara nawezaje kupata kitambulisho changu?
    Na nawezaje kusaidiwa tofauti na kurudi morogoro (Mvomero)

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      A
      fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      B
      Unaweza kuchukuliwa Kitambulisho cha Taifa na mtu mwingine aliyeko katika wilaya ulikosajiliwa au yoyote. Mtambulishe kwa barua yenye majina yako matatu na yake, NIN zenu na saini. Unayemtuma atatakiwa kuwa na Kitambulisho cha Taifa, kisha atawasilisha barua hiyo ofisi husika.

  13. Geofrey Phocus says:

    Samahani nahitaji kubadilisha jina kwenye namba yangu ya Nida kwa sababu lilikosewa naomba nijue maelekezo ya kufuata

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Maaboresho ya Jina
      Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
      i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
      iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
      iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
      v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
      Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

  14. GRACE SIMON says:

    HABARI
    KILA NIKIPIGA NAMBA ZA HUDUMA KWA WATEJA ZOTE HAZIPATIKANI, SHIDA YANGU NAHITAJI MSAADA WA KUANGALIA KAMA NAMBA YANGU YA NIDA IMESHATOKA.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg,

      Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa

      Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
      Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)

      Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au

      Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.

      Shukran.

  15. Gadi Estomih Massawe says:

    Kitambulisho changu cha Taifa kilikosewa tarehe na mwezi ni hii inakinzana na taarifa zilizoko kweli faili langu la ajira. Nitafanyaje ili niweze kurekebisha

    GAD MASSAWE

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaa NDg. Gadi, Je wewe ni mtumishi wa umma?

  16. Saimon says:

    Ni lazima kuwa na nakala za copy ya mzazi ili niweze kujisajili

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Ni muhimu kuwa na nakala ya Kitambulisho cha Taifa ama Cheti cha Kuzaliwa cha mzazi walau mmoja wapo. Shukrani.

  17. Saimon says:

    Nilivyonavyo ni namba ya nida ya mzazi tuu nakala ya copy sina na pia ipo nakala ya chet cha kuzaliwa na cha sekondary tuu na baruwa ya utambulishoo

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam NDg. Saimon, utatakiwa kukata kiapo cha Mahakama (Affidavity) ya mzazi mmoja wapo kisha utaambatisha na hizo nyaraka nyingine ulizonazo na kuziwasilisha kwenye ofisi ya Usajili.

      Shukrani.

  18. Fadhili Lwila says:

    Mimi nimeandikisha Moshi Hadi Leo sijapata hata namba na Kila nikifuatilia wananipa fomu tena wanasema nijaze upya nimejaza Zaidi ya mara tatu sijapata na nikisesrchonloline wanaesema namba yako ni _______ Sasa sijui nifanye nn maan naona napoteza muda wa kuajaza fomu tu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika ofisini uombe kuonana na msimamizi wa Ofisi husika kwa utatuzi. Shukrani.

  19. Sofia wosso says:

    Tunawatafta mwezi sasa leo tumewapata mnaongea kwa sauti ndogo tusiposikia tukiwauliza mnakasirika mnatukatia simu embu kuweni waungwana basi ivi utajiskiaj ukienda kupata huduma sehemu na ww ukafanyiwa kama mnavotufanyia

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. iwapo uliwasiliana nasi na ukakumbana na kadhia hiyo, tunaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza. tutazidi kuwasiliana na watoa huduma wetu ili kuboresha huduma zetu zaidi, lengo mteja upatiwe huduma iliyolengwa kulingana na taratibu za ofisi. Shukrani kuwsiliana nasi.

      1. Sofia woisso says:

        Asante sana

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Shukrani.

          1. Japhet Saston Msongole says:

            Habari? Kuna Raia mmoja wa Congo DRC ANAKITAMBULISHO CHA NIDA KINYUME NA SHERIA NAOMBA NITUMIE ANUANI NINAYOWEZA KUTUMA DETAILS ZAKE KWA HATUA MUHIMU.

          2. Geofrey Tengeneza says:

            Tafadhali tuma kwenye emails zifuatazo: dg@nida.go.tz na info@nida.go.tz

      2. ELIZABETH TUYATE says:

        je kama una namba ya nida kitambulisho hutoka baada ya muda gani?

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Tafadhali endelea kusubiri utafikiwa tu

  20. SHABABI MAHAMOUD RASHIDI says:

    JINSI YA KUPATA CONTROL NUMBER YA KITAMBULISHO KICLICHOPOTEA CHA NIDA

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Shababi,

      JINSI YA KUPATA CONTROLL NUMBER KWA NJIA YA MTANDAO

      Tafadhali fungua linki:- https://services.nida.go.tz (self Service/Jihudumie. Ama fungua tovuti ya NIDA http://www.nida.go.tz kisha bofya (click) Neno Kitambulisho cha Taifa kwenye Menyu kuu na endelea kufuata maelekezo.
      Shukrani.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Nzuri, karibu kwenye ukurasa wetu wa tovuti tukuhudumie kwa kukupatia elimu kuhusiana na Usajili na Utambuzi wa Watu ambao matokeo yake ni kutoa Utambulisho wa Taifa (NIN) na hatimaye Kitambulisho cha Taifa kwa raia, wageni na wakimbizi. Shukrani.

  21. Fransi says:

    Habari nilitaka kupata picha ya kitambulisho changu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. hakuna huduma ya mteja kupatiwa picha ya Kitambulisho chake bali unachotakiwa kufanya ni kufuatilia Kitambulisho chako kwa kufika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

      1. 0692738100 says:

        Salaam Ndugu: naitwa Fredrick nimejiandikisha Nida mwaka 2021 now Nshaapata NIN Sasa nauliza vp kitambulisho kitakua tayari

  22. Enoshi Elias Emanuel says:

    Kuna shida kwenye Taarifa zangu za nida nilikiwa najisajiri BRELA na TRA lakini taarifa zilipoload naona jinsia inakuja ke wakati mimi ni mwanaume naomba msaada nini nifanye?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali fika kwenye ofisi yoyote ya Usajili iliyo karibu nawe kwa utatuzi. Posta mpya, Jengo la Posta na Simu kuna kaunta ya NIDA, unaweza kupatiwa huduma pia. Shukrani.

  23. Rehema juma says:

    Hello, inabidi nisubiri miaka mingapi kupata I’d yangu nimechoka kila leo kuambiwa bado na number ninayo online copy mmesitisha toka 2019 nasubiri tu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

  24. Rehema juma says:

    Namba za huduma kwa wateja zote hazipatikani pia daah kwanini lakini yaani kujiandikisha ni shida kupata I’d pia ni shida😔

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.tunaomba radhi kwa usumbufu uliokumbana nao, unashauriwa kufika kwenye ofisi yoyote ya Usajili iliyo karibu nawe kwa msaada zaidi. Aidha unaweza kuulizia “status” ya ombi lako la Utambulisho wa Taifa kupitia https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint . Shukrani.

  25. Athuman Ngonyan says:

    Kila nikituma majina yangu, tarehe ya kuzaliwa na majina ya mama km yalivoandikwa kwenye form niliojaza kuomba kitambulisho inaniletea ujumbe “hakiki majina yako” sijaelewa nini tatizo?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Itakuwa haujazi taarifa kwa usahihi, unashauriwa kufika kwenye ofisi yoyote ya Usajili ya NIDA, wilayani iliyo karibu nawe kwa msaada zaidi au tuma ombi lako kwenye mfumo wetu wa eMrejesho https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili uangaliziwe moja kwa moja. Shukrani

  26. Yunnus says:

    Mm nimeandikisha kitambulisho mwaka 2018 huko ifakara Kwa saiv nipo zangu pemba na nimebanwa sana na majukum je naweza kufanya maombi kupitia ofisi za nida pemba ili kupatiwa kitalisho changu huku endapo tayar kimechapishwa

    1. Geofrey Tengeneza says:

      SALAAM NDG. ,
      KUMCHUKULIA MTU KITAMBULISHO CHA TAIFA
      IWAPO UTAFAHAMISHWA KUWA KITAMBULISHO CHAKO KIKO TAYARI, UNAWEZA KUCHUKULIWA NA MTU MWINGINE IWAPO UKO MBALI AU UMEHAMA MAKAZI KWA KUMTUMA MTU MNAYEFAHAMIANA KWA KARIBU NA ALIYEKO KATIKA WILAYA ULIKOSAJILIWA AU KOKOTE KWA KUMTAMBULISHA KWA BARUA ULIYOANDIKA MAJINA YAKO MATATU NA YA UNAYEMTUMA NA NIN ZENU NA KUSAINI BARUA. YEYE ATATAKIWA KUWA NA KITAMBULISHO CHA TAIFA, KISHA ATAWASILISHA BARUA HIYO KWENYE OFISI HUSIKA PAMOJA NA KUONYESHA KITAMBULISHO CHAKE NDIPO WATAMPATIA. ULIYEMTUMA ATAKUWASILISHIA KWA NJIA MTAKAZOKUBALIANA.
      SHUKRAN.

      1. Yunnus says:

        Je nikienda kuomba kupitia ofisi za nida zilizipo karibu na mm inawezkana

  27. Joseph Renatus Nyanda says:

    Nimepoteza kitambulosho cha Nida nifanyaje??

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg,
      Kuchapishiwa Kitambulisho cha Taifa kingine baada ya kupoteza/ kuharibu cha awali
      Kuna hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa na mwombaji aliyepoteza Kitambulisho cha Taifa ili kupatiwa kingine na kuna gharama kidogo mwombaji atatakiwa kuchangia. Hza kufuata ni kama zifuatazo:
      Mwombaji unatakiwa kuwasilisha fomu ya polisi ya upotevu wa mali/vitu, katika ofisi ya usajili ya NIDA ya wilaya ulikosajiliwa ama iliyo karibu nawe ili upatiwe namba maalumu ya malipo ya benki (controll number),
      Chukua namba maalumu ya malipo ya benki (control number) uliyopatiwa NIDA na fanya malipo ya TZS 20,000/=. huduma ya kitambulisho cha kwanza ni bure, unapopoteza unapaswa kuchangia gharama. Benki zinazotumika ni NMB/CRDB na NBC.
      Wasilisha fomu ya polisi ya upotevu wa mali na risiti ya malipo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA kukamilisha taratibu zilizosalia za kuanza kuchapwa kwa Kitambulisho kipya.
      Shukrani.

  28. joseph lazaro says:

    Naomba kuataka kufahamu jinsi gani naweza kufanya marekebisho juu ya taarifa zangu za nida kwa kitambulisho ambacho tayari nipo nacho, mfano majina kukosewa n.k

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Maaboresho ya Jina
      Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
      i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
      iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
      iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
      v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
      Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

      Aidha utatakiwa kuwasilisha Kitambulisho chako kwenye ofisi yoyote ya Usajili iliyo karibu nawe, ili iwapo utakidhi vigezo vya kubadilishiwa, uchapishaji wa Kitambulisho kingine ufanyike. Shukrani.

      1. Ester Ray says:

        Na Kama mwaka wa kuzaliwa umekosewa natakiwa nifanyaje!!!?

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

          Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

          Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

          Shukrani.

  29. joseph lazaro says:

    Naomba kutaka kufahamu jinsi gani naweza kufanya marekebisho juu ya taarifa zangu za nida kwa kitambulisho ambacho tayari nipo nacho, mfano majina, au mwaka wa kuzaliwa kukosewa n.k Ahsante

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Maaboresho ya Jina
      Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
      i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
      iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
      iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
      v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
      Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

      Aidha utatakiwa kuwasilisha Kitambulisho chako kwenye ofisi yoyote ya Usajili iliyo karibu nawe, ili iwapo utakidhi vigezo vya kubadilishiwa, uchapishaji wa Kitambulisho kingine ufanyike. Shukrani.

  30. Mussa says:

    Naomba kupata kitamburisho changu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

  31. Mussa azuberh satto says:

    Naomba kupata kitamburisho changu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

      1. Rehema juma says:

        Link uliyotoa ya malalamiko inasema “the page was not found” na kuhusu kwenda ofisi niliyojiandikisha kila ukifika hata hawashuhuliki kuangalia jibu ni moja tu subiri utatumiwa msg

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Je uko mkoa gani kwa sasa?

  32. Nicholaus says:

    Mim nna mwaka na miezi kila nikiuliza kitambulisho cha taifa naambiwa bado kidogo ndo mda unaohitajika kusubili.nilijisajili kibamba

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

      1. Nicholaus says:

        Nna mwaka na miezi tangu nipate number
        .na hizo number hapo nishapiga sana naambiwa subili kidogo utapata.je inachukua miaka mingapi kupata kitambulisho au mda gani

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Salaam Ndg. Walau ndani ya miezi mitatu, inaweza kuwa chini ya hapo au zaidi kidogo kutegemea na wingi wa maombi yaliyotangulia awali wakati unawasilisha ombi lako. Lengo letu ni ndani ya muda mchache ujao waombaji wachapishiwe Vitambulisho vyao walau ndani ya muda wa kuanzia wiki mbili na kuendelea. Shukrani.

  33. Asifiwe says:

    Ofisi za nida Kwa wilaya ya ubungo inapatikana wapi?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Asifiwe, Ofisi ya NIDA kwa wilaya ya Ubungo iko Kibamba Darajani, pembeni ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ubungo. Shukrani.

  34. Ramadhan Mnzava says:

    Nilisajiliwa dar es salaam ila kwa sasa nipo morogoro je naweza kupata kitambulisho changu cha nida katika ofisi za nida hapa morogoro? Au nifanyeje iliniweze kukipata hapa morogoro maana n
    ilitumiwa SMS kuwa kitambulisho kipo tayari

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Ramadhan, Unaweza kuchukuliwa Kitambulisho cha Taifa na mtu mwingine aliyeko katika wilaya ulikosajiliwa au yoyote. Mtambulishe kwa barua yenye majina yako matatu na yake, NIN zenu na saini. Unayemtuma atatakiwa kuwa na Kitambulisho cha Taifa, kisha atawasilisha barua hiyo ofisi husika.

  35. Abdulkarim Jumbe Abdallah says:

    Mimi nimetimiza miaka 18 sasa. Naomba kuuliza ninaweza kupakuwa fomu ya maombi ya kitambulisho cha NIDA kwenye mtandao na kuijaza na kuiwasilisha kwenye ofisi zenu au mpaka nikachukue fomu ofisi za NIDA kwa sababu zipo mbali nami. Ahsante.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam, Unaweza. Tafadhali rejea mwongozo hapo chini:-

      Jisi ya Kujaza Fomu ya Ombi la Utambulisho wa Taifa:-
      Jaza fomu kwa kalamu ya wino mweusi na kwa herufi kubwa (sifa mhusika uwe na umri miaka 18 na zaidi), inayopatikana kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA Wilaya/Serikali ya Mtaa/Kijiiji/Sheia unakoishi ama kwenye Tovuti yetu http://www.nida.go.tz
      Jaza taarifa za kweli na kwa usahihi zikiwemo za majina,
      Hakikisha una saini fomu yako ya Ombi la Utambulisho wa Taifa kwenye kipengele Na.59/60,
      Gonga muhuri fomu yako ya Utambulisho wa Taifa kwenye Serikali ya Mtaa unakoishi miezi 6 na zaidi kipengele na. 60.
      Baada ya kukamilisha kujaza fomu ya Ombi la Utambulisho wa Taifa, unatakiwa kuambatisha viambatisho vya kutambulisha uraia, umri na makazi kama vile:
      i. Cheti cha kidato cha nne ( iv),
      ii. Cheti cha kidato cha sita (vi),
      iii. Cheti cha elimu ya msingi,
      iv. Kadi ya bima ya afya,
      v. Pasi ya kusafiria,
      vi. Leseni ya udereva,
      vii. Namba ya utambulisho wa mlipa kodi (tin),
      viii. Kitambulisho cha mzanzibar mkaazi,
      Unapo ambatisha viambatisho hivyo, hakikisha vifuatavyo havikosekani kwani ni vya lazima:
      i. Cheti cha kuzaliwa (lazima),
      ii. Barua ya utambulisho wa makazi kutoka Serikali ya Mtaa unakoishi mwombaji (lazima) pamoja na
      iii. Nyaraka ya kutambulisha uraia wa wazazi:- cheti cha kuzaliwa au Kitambulisho cha Taifa.
      Fika Ofisi ya Usajili ya NIDA kukamilisha Usajili ili taarifa za kwenye fomu ulizozijaza ziingizwe kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu.

  36. Elicia George kakomile says:

    Ninaomba tayari ya NIDA sasa nahitaji kitambulisho nitakipataje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

  37. Elicia George kakomile says:

    Nina namba tayari ya NIDA sasa nahitaji kitambulisho nitakipataje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      Shukrani.

  38. Frank rasmos kapene says:

    habar. kitambulisho changu kimekosewa mwaka wa kuzaliwa. nawezaje kufanya mabadiliko

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam, kuhusiana na mwaka wa kuzaliwa, nyaraka tajwa hapo juu zitatumika lakini mpaka kibali maalumu kitolewe na kamati maalumu baada ya kujiridhisha ndipo Afisa Usajili ataweza kuendelea na Utaratibu wa kubadili mwaka pia. Shukrani.

  39. Carlos Charles says:

    Naweza kupaje namba na kitambulisho Cha taifa Kwa uharaka zaidi baada ya kujia andikiaha?
    Kwa maana nimejaribu kuingia online but sijafanikiwa,pia nimejaribu njia ya sms sijafanikiwa na njia ya mwisho niliyo jaribu ni kupiga *152*00# pia nayo haija fanikiwa na karibia kumaliza mwezi bila kufanikiwa naomba unisaidie kwahilo tu na mungu atakubariki.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg, Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa

      Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
      Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu). huduma hii ni maboresho dhidi ya ile ya awali USSD *152*00…..

      Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,

      Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au

      Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.

      Shukran.

  40. Godfrey says:

    Habari, nilijiandikisha kupata kitambulisho mkoa wa kagera kipindi nasoma huko lakini sikupata kitambulisho ila namba ninayo, na kwa sasa sipo kagera je naweza kupata kitambulisho huku nilipoo maana siwezi kendal kagera kwa sasa

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. tafadhali rejea majibu uliyopatiwa kwenye akaunti yako ya Mtandao wa Kijamii ambako pia umeuliza swali hili. Shukrani.

  41. Ibrahim Najim Hamad says:

    Niliwahi kutumia nida no katika account ya utumishi ila nilisahau email niliyotumia ktk ile account, sasa naomba kufaham ikiwa kuna uwezekano wa kuipata hiy email ama kuifuta au kuniwezesha kuitumia tena iwapo nitafungua account nyengine ya utumishi

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. karibu kwenye ukurasa wetu wa Tovuti tukuhudumie kwa kukupatia elimu kuhusiana na Usajili na Utambuzi wa Watu ambao matokeo yake ni kutoa Utambulisho wa Taifa (NIN) na hatimaye Kitambulisho cha Taifa kwa raia, wageni na wakimbizi. NIDA haitoi huduma ya akaunti za barua pepe .Shukrani.

  42. Novatus says:

    Nifanye Nini ili niweze kufanikisha na kupata namba ya nida ndani ya wiki moja?

  43. Happy says:

    Nina namba ya nida sjapata kadi yangu bado ila Sasa nilikua naingiza namba ya Nida naomba ajira taarifa zinaonesha jinsia mwanamme WAKATI mimi wa kike.. Naombeni ushauri tafadhali nifanyaje?

  44. Wisman Stephen Kapalata says:

    Nauliza je kitambuliasho change cha taifa kimekwisha Toka au bado chenye namba 19950225511080000327 maana nilipoenda kukifuata nilipojiandikishia ofisi ya Kara gangilonga mkoani iringa alisema Kitambulisho chenye jina Wisman Stephen Kapalata bado hakijatoka je kuna ukweli wowote kuhusu kutokutoka kwani nilijiandikisha muda mrefu,na mimi kwasasa naishi dodoma wilaya ya MPWAPWA changamoto kusafiri na gharama nyingi

  45. James says:

    Samahani nawezaje kupata taarifa nilizotumia kusajilia kitambulisho changu cha NIDA

  46. james says:

    Nahitaji kupata taarifa nilizotumia katika usajili wa kitambulisho cha NIDA Msaada tafadhali

  47. Kim says:

    Itachukua mda gani ili nida ifanyiwe marekebisho

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Inategemea na ombi lako dhidi ya nyaraka ulizowasilisha na iwapo limeafikiwa kwani linaweza afikiwa ama lisiafikiwe kutegemea na sababu ama nia ya kuhitaji kubadili taarifa. Shukrani.

  48. Mercy Leonard says:

    Habari
    nina kitambulisho changu tayari ila shida ninajaza loss report online nikiingiza number zangu za NiDA naambiwa MAJINA HAYAFANANI NA KITAMBULISHO nimeshindwa kuelewa tatizo ni nini kwa sababu hii ndio number ninayotumia siku zote na ninayo kwa zaidi ya miaka mitatu sasa. Nilipata kitambulisho changu Dar es Salaam.
    Pls naomba msaada.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Fika Ofisi ya NIDA wilaya kwa msaada zaidi

  49. ABDALLAH SHABANI says:

    Habari,naomba kujua utaratibu kwa kubadili jina la mwisho katika NIDA..Kwenye Nida natumia ABDALLAH SHABANI KIMBUTE hivyo nahitaji kubadili liwe ABDALLAH SHABANI TIMI na jina hilo TIMI nililitumia Kwenye uasajili wa nida Kama jina maarufu.ASANTE

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

      Shukrani.

  50. Amada nassoro Amri says:

    Habari shida yangu kufahaamu namba yangu ya nida napiga simu aipokelewi nipo wilaya ya kilwanamba yangu ya simu no 0621140234

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg,

      Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa

      Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
      Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),

      Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,

      Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu

      Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au

      Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.

      Shukran.

  51. NKAMBA habari says:

    Nimeuliza swali yangu juzi sijajibiwa na no za huduma kwa wateja hawapokei

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Karibu tukuhudumie tafadhali.

  52. Shein says:

    Jina la baba nahitaji kibadilisha spelling kwenye tarifa Zang za nida Ina wezekana na nifanyaje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

      Shukrani.

  53. Eliakim says:

    Namba yangu ya nida imekosewa kwenye mwezi wa kuzaliwa
    Sijui inawezekana kurekebishwa

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

      Shukrani.

  54. Abdul hangi says:

    Bwana Geofrey pole na majukumu mm kitambulisho ninacho ila mwaka wa kuzaliwa umekosewa nmeenda wilaya niliyo jiandikishia wamehakiki nyaraka zote wakasema zpo saw wakaniambia nitume barua makao makuu kwa mkurugenzi mkuu kupitia wilya niliyo jiandikisha ili nipatiwe kibali lakn mpk leo sijapata majibu yoyote kitambulisho kinaniletea usumbufu kutambulika hasa kweny maombi ya ajira naomba msaada.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Pole ndugu, muda sio mrefu kuanzia sasa utapata majibu

  55. Juma Shabani nzano says:

    Kitambulisho changu wananiambia kimeidhinishwa kutumika na mtu mwingine kila ninapoangalia namba zilizosajiliwa kwa kitambulisho cha nida
    Ambacho ni kitu mm sijawahi kukifanya na mm kama mwananchi kwangu inakua ni hatari kiusalama

    Nini tatizo

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Fika Ofisi ya NIDA Wilaya iliyo karibu nawe kwa usaidizi zaidi

  56. RAMADHANI Issa Mohammed says:

    Hivi mtu akitaka kubadilisha taarifa zaie za usajili Kama jina moja Kati ya majina matatu na yupo mbali na ofisi za nida, he! Anaweza kufanya huo mchakato online?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Hapana ni lazima ufike Ofisi za NIDA

  57. Juliana says:

    Samahani unaposema endapo kosa liko upande wenu unamaanisha nini, na je iwapo taarifa za majina yaliyopo katika cheti ni Juliana Kulwa Deus William na katika vyeti vya elimu ni Juliana Deus William, katika uwasilishwaji wa taarifa kwa sisi tuliokua wanafunzi tulikabidhi vyeti vya taaluma na kuzaliwa nanyi mkarekodi Juliana Kulwa Deus.Je kosa lipo upande gani ikiwa nataka jina la vyeti vya taaluma lifanane na Nida?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

      Shukrani.

  58. Mdoe says:

    Mkipigiwa simu ampokei

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Pole, endelea kupiga wakimaliza kuhudumia walioko online nawe utapokelewa

  59. BESTA PASCHAL KALUMNA says:

    Habari,mimi ni mtumishi wa serikali,nilikua naomba kujua process za kubadilisha mwaka wa kuzaliwa kwenye kitambulisho cha NIDA. Nitashukuru sana endapo ombi langu litajibiwa.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

      Shukrani.

  60. Mrage says:

    Jina la mwisho katika kitambulisho changu cha taifa kimekosewa,,Je naweza kubadilisha? Na utaratibu ukoje tafadhali

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

      Shukrani.

  61. amina says:

    habari samahani naweza kupata taarifa zangu za nida kama makazi yangu na majina ya wazazi taarifa zangu zote kwa ujumla

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Wasilisha ombi lako kwa barua pepe info@nida.go.tz kisha utajibiwa iwapo watapima na kuona inafaa kutokana na sababu na nia ya kuzihitaji. Shukrani.

  62. abuu kamage says:

    naitwa abuu joakimu kamage mzaliwa wakigomamjini nishasumbuka sana kupata namba yangu yanida naomben msaada wenu niipate. maana kutokuwa nanamba yanida nimekwama kwavitu vingi sana

  63. Alfani juma rajabu says:

    Samahanini ndg nahitaji nida yangu mbn nimeikosa online

  64. Nelson says:

    Naomba mnisaidie jinsi ya kuangalia namba ya nida kwenye simu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,

  65. szwnbilsnp says:

    Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa
    aszwnbilsnp
    szwnbilsnp http://www.gy7v419abfs71z0q7e4s7s592hs8j2x0s.org/
    [url=http://www.gy7v419abfs71z0q7e4s7s592hs8j2x0s.org/]uszwnbilsnp[/url]

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Karibu tukuhudumie

  66. Paulo says:

    Nitafanyaje nipate namba ya nida kwa haraka sijajindishs

  67. Martine maguhwa Francis says:

    Mimi mama Ake Martine nilikuwa naomba kujua namba ya NIDA ya kwake kama imeshatoka

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg,

      Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa

      Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,

      Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au

      Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.

      Shukrani.

  68. Rayyan says:

    Nikiuliza swali langu humu hua sipati jibu nilitengeneza kitambulisho tangu 2018 lakin kila nikienda kuuliza naambiwa hakijatoka na sipewi majibu yanayoeleweka nataka kufahamu kadi inatoka baada muda gani na kama muda huo ushapita kuna shida gani kadi yangu haijatoka

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Kitambulisho cha Taifa huchapishwa ndani ya miezi mitatu, inaweza kuwa chini ya hapo au zaidi kidogo kutegemea na wingi wa maombi yaliyotangulia awali pindi unawasilisha ombi lako. Lengo ni kutoa Kitambulisho kwa mteja ndani ya wiki mbili kwa kipindi kichache kijacho. Shukrani.

  69. Rayyan says:

    Nikiuliza swali langu humu hua sipati jibu nilitengeneza kitambulisho tangu 2018 lakin kila nikienda kuuliza naambiwa hakijatoka na sipewi majibu yanayoeleweka nataka kufahamu kadi inatoka baada muda gani? na kama muda huo ushapita kuna shida gani kadi yangu haijatoka?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. kwa sasa kasi ya utoaji Vitambulisho vya Taifa imeongezeka hivyo punde tutakufikia. Aidha si utamaduni wetu kuto toa majibu kwa wateja ndio maana hata ujumbe huu umesomwa na umepatiwa majibu. Shukrani

  70. Davis omondi says:

    Habari ? Naitwa Davis omondi mama mzazi anaitwa Judith Juma nilizaliwa tarehe 12/121/989 nilujisajili 2018 mpaka Sasa sijapata nida naombeni usaidizi wenu ..

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg,

      Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa

      Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,

      Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au

      Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.

      Shukrani.

  71. Anania katikiro says:

    Ningependa kufahamu inachukua muda gani kupata hata copy ya kitambulisho baada ya nin kutoka???

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Hakuna huduma ya Nakala Tepe Mtndaoni kwa sasa. Shukrani.

  72. Fred Dominic Jambia says:

    Kwa majina naitwa FRED DOMINIC JAMBIA,Namba yangu ya nida illisajiliwa kwa majina haya, Alfred Kazimili Dominika,lakin baade nilirud shuleni na kutumia majia hayo hapo mwanzon na ndo majina yanayotambulika KATKA kwenye vyeti vyangu kuanzia form four had kwasasa Niko chuo kikuu hapa st.Augustine university mwanza,na pia nilibadisha mwaka kutoka na fursa za kimasomo,je mtanisaidiaje Ili Namba yangu ya nida iweze kuendana na majina yangu ninayotumia kwasasa kwenyvyet vyangu na mwaka niliobadilisha,naombeni msaada wenu tafadhali maana nimezunguka kwenye ofisi za nida huku niliko wakasema nilazma nieasiliane na watu wa makao makuu ya nida dar es salaam

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Maaboresho ya Jina
      Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
      i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
      iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
      iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
      v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
      Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      1. Edward says:

        Naitwa edward mussa peleka
        Majina ya NIDA yamekosewa nahitaji msaada

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Nenda Ofisi ya NIDA na nyaraka inayothibitisha usahihi wa jina lako utahudumiwa

  73. JOhnjojitemu says:

    Namba yangu ya nida imesuliwa kusajili na sijui kwanini musaada

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Nani kaizuia?

  74. Vicenti says:

    Habari, naomba kuuliza utaribu wa kurekebisha mwaka wa kuzaliwa ikiwa ulikosea wakati wa kujaza form.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Unashauriwa kufika Ofisini kabla ya kufanya hatua yoyote kwa uhakiki. Nyaraka zitakazohitajika ni pamoja na Cheti Cha Kuzaliwa, kadi ya kliniki, Tangazo, leaving certificate ya kidato Cha nne, deed poll n.k kitegemea na nyaraka ulizowasilisha awali iwapo Zina mwaka unaounitaji itakuwa rahisi lah wasilisha hizo nyaraka na ziwe na tarehe unayoitaka kwa Sasa. Shukrani.

  75. Said kadonya martine says:

    Habari mimi shida yangu mwaka wa kuzaliwa lakini piah kiambata kilichopo pale ambacho ni kadi ya mpiga kura nacho kimekosewa napata wakati mgumu maana nimeenda ofisi za nida gongo la mboto hadi niende sehemu niliyojiandikisha na nimejiandikisha tabora wakati nasoma nifanye nini?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Kwa Sasa huo ni utaratibu uliopo kama bado hujapatiwa Kitambulisho cha Taifa. Ingawaje tunalenga kutanua WiGo kwa siku za mbeleni. Shukrani.

  76. JAMES M. LUHAJA says:

    Habari,
    Kuna Kadi za NIDA Namba 19900511-15103-00001-16 (JOYCE PETER MAHUMBI) na Kadi namba 19851213-12110-00003-24 (SAIDI ABDALLAH MOHAMED), wenye Kadi hizi wamezisahau Hospitali ya Polisi Kilwa Road (waje Ofisi ya Bima ya Afya namba 6) au kwa mawasiliano piga namba 0712 923936.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      simu yako haipokelewi. Shukrani.

  77. Erick agustino sengo says:

    Naomba kupata kitamburisho changu majina kamili ni Erick Agustino sengo

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa.

  78. Isihaka says:

    Je naweza kupata namba zanida kama sina kitambulisho cha taifa maana muda vinatoka sikutimiza miaka 18

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fungua kiunganishi kifuatacho ili kufahamu maelekezo ya jinsi ya kujaza fomu ya Usajili https://nida.go.tz/swahili/index.php/2022/08/22/fahamu-namna-ya-kujaza-fomu-ya-maombi-ya-utambulisho-wa-taifa/

  79. Hussein Ramadhani says:

    Habari

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Njema

  80. Hussein Ramadhani says:

    Habari kwenye fomu nilijaza tarehe ya kuzaliwa 13/06/2001 lakini namba ya kitambulisho niliyo pewa ni 20000613-47113-00001-29 hivyo imekuwa changamoto kwenye kuomb ajir kwa sababu ya namba ya nida kuanza 2000 badala ya 2001. Nisaidie nifanyaj n mchakato huo utachukua muda gani?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Unashauriwa kutimiza kuripoti kwenye Ofisi ya Usajili Wilayani kwa uhakiki na utatuzi zaidi. Shukrani.

  81. Vasco asagwile says:

    Poleni na kazi naomba kujua kuhusu kitambulisho cha NIDA nikijiandikisha kinatoka baada ya Muda gani?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      kwa mujibu wa Sheria ni Miezi 3 hadi 6 lkn kutokana na changamoto mbalimbali itabidi usubiri hadi utakapofikiwa

  82. Josephat says:

    Salaam Ndugu.
    Nishapata namba ya nida(NIN) ila sijajua kama kitambulisho changu cha Taifa kama kishatoka na sijui ni wapi? niende kuchukua. Nilirudisha form za usajili ( Ukonga Mombasa – Dar Es Salaam)

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa.

  83. Jaffari daudi nyangassa says:

    Nimepata namba yangu ya nida yangu 2020 lakini mpaka Leo sijapata kitambulisho changu nifanyeje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa.

  84. Jacquiline John says:

    Samahani mimi nimejiandikisha Arusha mwaka 2019 kwa sasa naishi dar es salaam. Kwenye kujaza taarifa zangu nilikosea herufi moja. Sasa kwani ni lazima nirudi Arusha kufanya marekebisho? Siwez fanya izo process nikiwa huku huku dar kwenye nida ya wilaya ninayokaa kwa sasa?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Unaweza kufanya ukiwa hapa hapa Dar kwenye ofisi ya NIDA wilaya yoyote

  85. Shadrack Thomas says:

    Habari ndugu mtoa huduma. Mimi ninahitaji kuwasiliana na wewe privately.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Wasiliana nami kupitia info@nida.go.tz

  86. Shadrack Thomas says:

    Habari ndugu mtoa huduma. Naomba unisaidie mawasiliano ya ofisi zenu kwa wilaya ya Serengeti

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fungua linki hii kupata maelekezo:-

      https://nida.go.tz/swahili/index.php/vituo-vya-usajili/

  87. Ibariki says:

    HABARI KWA JINA NAITWA AIBARIKI

    NAMBA YANGU YA NIDA AMBAYO NI 19960525151060000226

    NAambiwa imefungiwa siwezi kusajili laini tena sasa sjui nini sababu naombeni msaada wenu kunifungulia namba yangu ya nida

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Unashauriwa kuripoti kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Shukrani.

  88. Jamali wazili Birali shentue says:

    Habari naomba msaada nulijiandikisha nida 2018 melelani mkoani manyala nikaja kuondoka kwaiyo sikupata namba yangu ya nida au kitambulisho naomba msaada majina ni JAMALI WAZILI BILALI MWAKA 1_1_2000 SHIDA YANGU NIKIPATA NAMBA NITA SHUKURU SANA

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka

  89. Baraka jonas says:

    Habari, je kwa mtu ambaye hana Cheti chochote anaweza pata kitambulisho cha Nida?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam NDg. Hapana. anatakiwa kufuatilia kwanza kwenye taasisi husika ndipo aje NIDA. Shukrani.

  90. Baraka Mwambije says:

    Namba ya NIDA inatoka baada ya mda gani??
    Maana namba yangu sijaipata mpaka leo

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka

  91. abel kakuru says:

    19930201301010001029 kitambusho changu kimeshatoka?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa

  92. abel kakuru says:

    habar 19930201301010001029 kitambusho changu kimeshatoka?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa

  93. Lyidia says:

    Habari,tarehe ya kuzaliwa inayoonekana kwenye NIDA imekosewa, natakiwa kufanyaje ili kurekebisha

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Wasilisha nyaraka inyoonyesha tarehe halisi na sahihi ya kuzaliwa katika Ofisi ya NIDA kwa uhakiki, ukikidhi vigezo utapewa maelekezo na kuhudumiwa ipasavyo

  94. Baraka mwita marwa says:

    Naitwa baraka mwita marwa nimejisajili mda mrefu bbado sijapata namba yangu ya nida

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tembelea tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz) bofya neno Kitambulisho cha Taifa, kisha bofya Fahamu NIN, baada ya hapo fuata maelekezo. Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka

  95. MALESHI . H says:

    HALL MR G. NAOMBA KUULIZA JI KUNA SHIDA YA KUJISAJILI ONLINE KWA SASA SABABU NAJARIBU KUU LOG IN NAPATA JIBU LA E-MAIL YAKO HAIPO WAKATI NDIO NINAYO ITUMIA SIKU ZOTE. NITASHUKURU NIKIPATA JAWABU
    HEFSIBA.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali jisajili online kwa kufungua link eonline.nida.go.tz kisha fuata maelekezo

  96. Mathiya TLUWAY bombo says:

    Ninaitwa MATHIYA TLUWAY BOMBO Niko mbulu manyara ,shida yangu ni kuwa nimemaliza hayua zote za kuedit majina na Kama ni nyaraka Ni nyaraka nimewasilisha ,,,mwenye jukumu la kuedit majina yangu Ni afisa wa NIDA wilayani?? au makao makuu maana Nina miezi miwili Sasa bado majina yangu hayajabadilishwa: Ahsante

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Endelea kufuatilia Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe kwa ufuatiliaji zaidi

  97. Casian x charles says:

    Namba zenu zote hazipatikani kwanini?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Endelea kupiga inawezekana wakati unapiga wateja wengine wanahudumiwa.

  98. casian charles says:

    Why Namba zenu zote hazipokelewi zingne hazipatikani?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888

  99. Nickson Rugemarila says:

    Habari ndugu. Nauliza ofisi za NIDA wilaya bukoba ziko wapi

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Kwenye Ofisi za Manispaa Bukoba

  100. KASSIM KIPINGU says:

    mwanye kitambulisho 19770115151010000225 kimeokotwa kwenye daladala

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali wasilisha Ofisi YOYOTe ya NIDA iliyo karibu nawe.

  101. Eda says:

    Habari naitwa Eda nipo daresaalam.naitaji kubadilisha majina yaliyoko nida.nilisajiliwa kagera.je? Naweza kwenda ofisi za hukuhuku nida. Daresaalam nikapatiwa huduma
    Au mpaka nirudi kagera.nilikosajilia

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Unaweza kwenda Ofisi yoyote ya NIDA Wilaya iliyo karibu na wewe. Ukikidhi vigezo utabadilishiwa

  102. Daniel says:

    Good day! Do you use Twitter? I’d like to follow you if that would be ok.
    I’m undoubtedly enjoying your blog and look forward
    to new posts.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Yes, we do. Thanks

  103. Jaffari daudi nyangassa says:

    Mimi nimepata namba yangu ya nida nina mwaka mmoja na zaidi lakini mpaka sasa kitambulisho changu nifanyeje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa

  104. Shaban ibrahim says:

    Mimi nipo Geita nilijiandikishia dar es salaam maeneo ya mbezi luis nimeshafuatilia sana nakala ya kitambulisho cha nida naambiwa bado sasa napata wakati mgumu sana endapo inahitajika coppy ya nakala yangu hiyo namba yangu ni 19700105161130000120 naomba kama inawezekana nitumiwe link au nakala kwenye email yangu niprint mwenyewe huku nilipo emeil yangu ni ibrashaban4@gmail.com

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Ushajibiwa

  105. Shaban ibrahim says:

    Mimi Shaban Ibrahim Kilyamawe nipo Geita nilijiandikishia dar es salaam maeneo ya mbezi luis nimeshafuatilia sana nakala ya kitambulisho cha nida naambiwa bado sasa napata wakati mgumu sana endapo inahitajika coppy ya nakala yangu hiyo namba yangu ni 19700105161130000120 naomba kama inawezekana nitumiwe link au nakala kwenye email yangu niprint mwenyewe huku nilipo emeil yangu ni ibrashaban4@gmail.com

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Ushajibiwa

  106. Shaban ibrahim says:

    Mimi Shaban Ibrahim Kilyamawe nipo Geita nilijiandikishia dar es salaam maeneo ya mbezi luis nimeshafuatilia sana nakala ya kitambulisho cha nida naambiwa bado sasa napata wakati mgumu sana endapo inahitajika coppy ya nakala yangu hiyo namba yangu ni 19700105161130000120 naomba kama inawezekana nitumiwe link au nakala kwenye email yangu niprint mwenyewe huku nilipo emeil yangu ni ibrashaban4@gmail.com namba yangu ni0766466699

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Huduma ya Nakala Mtandaoni haipo kwa kuwa ilishasitishwa Kitambo. Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa

  107. Benson Moses Wilson says:

    Habali ya kazia NIDA
    Samahani nitawezaje kupata taalIfa zangu nilizojaza kwenye Fom ya NIDA

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Andika barua kwa Mkurugenzi Mkuu kuomba hiyo huduma. ukikubaliwa gharama zitahusika.

  108. Hawa Kajia Mjema says:

    Habari ya asubuhi? Samahani Mimi shida yangu jina langu ukoo limekosewa badala yakusomeka MJEMA linasomeka MJEMIA baada ya usajili NIDA na nimekwenda ofisini MOROGORO nimeandika barua ili kubadilisha kwa kuwa majina yanatofautiana na ya kwenye vyeti lakini bado sasa naomba msaada wenu. Shukran

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Nenda Ofisi ya NIDA na cheti cha kuzaliwa kuonyesha uhalisia wa jina lako, baada ya uhakiki utahudumiwa

  109. Martha Albert mtega says:

    Habari kitambulisho cha muda kinachukua mda gani kuwa teyari maana mimi nimekataa tangu 2019 hadi leo 2023 bado hakijawateyari kwa mtindo huu jaman si na maswala mengine yanayohitaji kopi ya kitambulisho na sio namba yanakwama

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Huduma ya copy haipo ilishasitishwa. Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa

  110. Islam shabani mkude says:

    Habari naomba msaada kitambulisho changu kimefungwa sielew ata nimefanya kitu gani na hadi laini zangu zimefungwa zote naomba msaada nifanyeje naambiwa imefanya uharifu ila sijawah kufanya chochote na nimeenda kwenye mitandao ya simu nao wanasema hawaoni shabani yoyote

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Islam Naomba kufahamu nani kakutaarifu kuwa kitambulisho chako kimefungiwa?

  111. Rahma Alfan says:

    Hi… Nida namba angu iko na makosa nifanyeje?? Nimezaliwa 1998 ila yenyewe inaanza na 1988

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Nenda Ofisi ya NIDA Wilaya na cheti chako cha kuzaliwa kwa ajili ya uhakiki wa fomu yako ya maombi, ukikidhi vigezo utahudumiwa

  112. Eriason says:

    Samahan Ndg, nilihitaji kubadili tarehe na mwezi wa kuzaliwa maan ilikopiwa vise versa asa naomba ushauri nifuate njia zipi ili niweze kifanikisha.

  113. Thanks for finally writing about > Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa < Liked it!

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Thanks

  114. Geofrey says:

    Habari, Samahani Shida yangu ni kwamba jina langu lilikosewa herufi moja kwenye namba yangu ya nida nimejaribu kufanya ufuatiliaji kwa kutembelea ofisi ya nida sikupata msaada nliambiwa nifanye mawasiliano na namba za huduma kwa wateja nlizopewa haikupokelewa hata moja.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Ombi lako linatakiwa kufanyiwa kazi kwenye Ofisi ya Usajili Wilayani. Je ni wilaya gani umehudumiwa?. Shukrani.

      1. Geofrey says:

        Nlihudumiwa wilaya ya kinondoni Dar es salaam

    2. Geofrey Tengeneza says:

      Je umesajiliwa Wilaya gani?

      1. Geofrey says:

        Nlisajiliwa wilaya ya Shinyanga Mjini

      2. Geofrey says:

        Naomba msaada wako nipate mwanga wa kutatua hili tatizo.

  115. Fedrick Mganga says:

    Naomba namba ya mawacliano kitengo Cha NIDA wilaya ya kilindi mkoa wa Tanga

  116. Didas Shao says:

    Habari, samahani nilijiandikisha kupata kitambulisho cha taifa Dar es Salaam, kata ya Upanga Magharibi(Mtaa wa Charambe). Nikaenda kwenye Ofisi za NIDA ilala CBD wakaniambia niende kitambulisho changu kimepelekwa kwenye kata yangu nilipojiandikishia.
    Kufika kwenye Ofisi za kata wakaniambia hakipo na kuangalia namba yangu ya NIDA wakasema Codes sio za kata yao.

    Naomba msaada kujua kitambulisho changu kipo kata gani ili niweze kukifata

    Ahsante.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali nenda Ofisi ya NIDA ukonga, ukifika omba kuonana na DRO mweleze hayo yote utahudumiwa ipasavyo

  117. Edward says:

    Naitwa EDWARD MUSSA PELEKA kitambulosho changu kimekosewa terehe ya kuzaliwa mwaka pamoja na majina nahitaji msaada wenu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Fika Ofisi ya NIDA Wilaya iliyo karibu nawe ukiwa na cheti chako cha kuzaliwa kwa ajili ya uhakiki, kupewa maelezo na maelekezo pamoja na kuona kama unakidhi vigezo vya kubadilisha taarifa hizo

  118. Geofrey says:

    Habari… Samahani, Naomba niwasliane na wewe naamini ntapata msaada kwasababu nimejaribu kuuliza kwa njia ya text humu lakini bado sijapata solution ya tatizo langu.

  119. Tumaini George says:

    Samahan jamani nikisha jiandikisha na yangu ya nida ninaipata papo hapo? Asante.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Hapana kuanzia siku 7 hadi 14 kama maombi yako hayana shida yoyote

  120. Tumaini George says:

    Samahan jamani nikisha jiandikisha namba yangu ya nida ninaipata papo hapo? Asante.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Hapana, utaipata ndani ya siku 7 hadi 14 kama maombi yako hayana shida yoyote

  121. Athuman Mohamedy says:

    Naomba namba ya mawasiliano kitengo Cha NIDA wilaya ya UYUI mkoani TABORA

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 Kwa shida yoyote kutoka mahali popote utahudumiwa.

  122. Ahmad Muhammad Shanam says:

    Nawez kubadili jina kwenye mfumo maan sijapat bado kitambulisho..?
    Na hii ni baada ya kubadili jina kupitia wizara

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Hujaeleweka, kwa kuwa Taarifa za NIDA zinabadilishwa na Ofisi za NIDA tu baada ya kukidhi vigezo na si Vinginevyo

  123. Lightness says:

    Niliomba kuubadilisha jina tangia mwezi wa kumi na barua nilishatuma Ila sipati majibu

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Zinashughulikiwa, muda sio mrefu kuanzia sasa utapata majibu

  124. Daniel Richard says:

    Ofisi za nida mkoa wa mara zinapatikana mkoani tu ama hata wilayani?
    Mimi nipo Bunda nahitaji kupata kitambulisho cha Nida.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Bunda pia ipo Ofisi ya NIDA

  125. GABRIEL PONSIANI MAKUNDI says:

    “NAITWA GABRIEL PONSIANI MAKUNDI NILIPOTEZA KITAMBULISHO CHANGU CHA NIDA NA NIMEFUATA YOTE KAMA YALIVYOELEZWA HAPO CHINI NA BW. GEOFREY. NILIPIGIWA SIMU KWAMBA KITAMBULISHO CHANGU KIPO KATIKA KITUO CHA NIDA CHA UKONGA. NIKAENDA KUKICHUKUA NIKAAMBIWA KIPO KATA YA KIPAWA. KATA YA KIPAWA WAKANIAMBIA KIPO MAJUMBA SITA NILIPOJIANDIKISHA. MAJUMBA SITA WAKANIAMBIA HAKIPO. SASA INAKARIBIA MIAKA MIWILI NAOMBA MAELEKEZO SAHIIHI KUTOKA KWENU TAFADHALI”

    Geofrey Tengeneza says:
    March 31, 2022 at 6:07 am

    Salaam Ndg,
    Kuchapishiwa Kitambulisho cha Taifa kingine baada ya kupoteza/ kuharibu cha awali
    Kuna hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa na mwombaji aliyepoteza Kitambulisho cha Taifa ili kupatiwa kingine na kuna gharama kidogo mwombaji atatakiwa kuchangia. Hza kufuata ni kama zifuatazo:
    Mwombaji unatakiwa kuwasilisha fomu ya polisi ya upotevu wa mali/vitu, katika ofisi ya usajili ya NIDA ya wilaya ulikosajiliwa ama iliyo karibu nawe ili upatiwe namba maalumu ya malipo ya benki (controll number),
    Chukua namba maalumu ya malipo ya benki (control number) uliyopatiwa NIDA na fanya malipo ya TZS 20,000/=. huduma ya kitambulisho cha kwanza ni bure, unapopoteza unapaswa kuchangia gharama. Benki zinazotumika ni NMB/CRDB na NBC.
    Wasilisha fomu ya polisi ya upotevu wa mali na risiti ya malipo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA kukamilisha taratibu zilizosalia za kuanza kuchapwa kwa Kitambulisho kipya.
    Shukrani.
    Reply

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Bw. Gabriel, Nenda Ofisi ya NIDA Ukonga, ukifika Omba kuonana na DRO, mweleze yote kuhusiana na kitambulisho chako utahudumiwa ipasavyo.

  126. JAMES JOHN KASANDA says:

    Mm kwa majina naitwa James john kasanda natokea mkowa wa katavi wilaya ya tanganyika.nimejiandikisha na kufuata taratibu zote ili kupata kitambulisho cha muda laki mpaka sasa hata namba ya muda sina ko naomba msaada wenu asante.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tembelea tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz) bofya neno Kitambulisho cha Taifa, kisha bofya Fahamu NIN, baada ya hapo fuata maelekezo. au piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka.

  127. Raymond Peter says:

    Habari ni kwamba jisajili nida nikapata card lakini card ilikosewa jina langu nikafanikiwa kurekebisa hiyo card nikapewa namba tena lkn mpk sasa hivi card sijapata niliorekebisha jina langu . Na mpaka sasa hivi toka mwaka 2020 sijakupata kipya

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama kitambulisho chako kimeshachapishwa

  128. Ally yusuf juma says:

    Naitaji kupata namba ya nida

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Umeshajisajili? Tembelea tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz) bofya neno Kitambulisho cha Taifa, kisha bofya Fahamu NIN, baada ya hapo fuata maelekezo, au piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka.

  129. Ally says:

    Naitaji namba ya nida

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Umeshajisajili? kama ndivyo Tembelea tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz) bofya neno Kitambulisho cha Taifa, kisha bofya Fahamu NIN, baada ya hapo fuata maelekezo au piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka.

  130. ARAFAT HAMISI says:

    Nahitaji kujua kam naweza pata namba yngu ya nida mtandaon maan nipo mbali sn na taratibu zote nmemaliz tayari

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tembelea tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz) bofya neno Kitambulisho cha Taifa, kisha bofya Fahamu NIN, baada ya hapo fuata maelekezo

  131. Lily njeri says:

    Nataka kufuta utambulisho wangu niliojaza nida nianze upya nafanyaje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Dada Lily kwa nini unataka kufuta? kwa kawaida taarifa zako zikishaingizwa kwenye mfumo haziwezi kufutika na wala huruhusiwa kujisajili tena. Isipokuwa unaweza kubadilish taarifa fulani ambazo kitaratibu zinaruhusiwa kurekebishwa, ila usijaribu kujisajili tene.

  132. Steven says:

    Mm nmefanya polosesi zote zanida wilaya ya bagamoyo mapinga alafu nmepata imejensi nmetoka Sasa sjajuwa nitaipataje namba yangu natuliambiwa twende bagamoyo hofisi zanida

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Steven, Ulishapiga picha na kuchukuliwa alama za vidole? kama ndivyo, tafadhali fanya yafuatayo:
      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au Tembelea tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz) bofya neno Kitambulisho cha Taifa, kisha bofya Fahamu NIN, baada ya hapo fuata maelekezo. vile vile unaweza tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA Wilaya iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka.

  133. Hi would you mind letting me know which web host you’re
    working with? I’ve loaded your blog in 3 completely different internet
    browsers and I must say this blog loads a lot quicker then most.
    Can you recommend a good hosting provider at a reasonable price?
    Kudos, I appreciate it!

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Thanks for appreciation

  134. When someone writes an paragraph he/she keeps the thought of a user in his/her brain that how a
    user can understand it. Therefore that’s why this post is outstdanding.
    Thanks!

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Thank you too

  135. Josephat Mhenzi Mazungu says:

    Naomba kujua ofisi za NIDA mkoa wa Mbeya wilaya ya Mbeya ziko wapi.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Unaombwa kufungua Tovuti yetu wwww.nida .go.tz Kisha upande wa kushoto bofya neno Ofisi za Usajili. Shukrani.

  136. Irene Emmanuel says:

    Habari za muda! Nimepata ujumbe kupitia namba 0675 492816, imeandikwa nanukuu ” TCRA,ndugu mteja namba Yako ya nida IMEFUNGWIWA Kwa msaada zaidi piga *33*0000#, Sasa sijafahamu ukweli kuhusu hilo..Naomba kufahamu Asante

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Dada Irene, TCRA hawana mamlaka ya kufungia namba za NIDA, na NIDA hawafungii watu namba zao kwa kuwa Namba yako ya NIDA ni ya Utambulisho wako wa kudumu. Jihadhari na matapeli.

  137. Mirambo says:

    Nimesha jiandikisha ni muda mrefu sasa ,je nawe kutumiwa namba zangu za nida hapa kwa coment?,, Na kama kuna taarifa zina takiwa niwape ili nipate namba,, tafadhali naomba msaada

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali piga simu Kituo cha Huduma kwa Mteja kwa namba 0677 146 666, 0777 740 006, 0752 000 058 au 0687 088 888 au tembelea tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz) bofya neno Kitambulisho cha Taifa, kisha bofya Fahamu NIN, baada ya hapo fuata maelekezo. Vile vile unaweza tembelea Ofisi ya Usajili ya NIDA iliyo karibu nawe ili kufahamu kama Namba yako imeshatoka.

  138. Mashaka Shigela says:

    Cheti changu cha kuzaliwa ni 1994 lakini namba kitambulisho cha kinaonyesha 1995 nifanyeje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Ndg. Mashaka, tafadhali nenda Ofisi Usajili ya NIDA Wilaya iliyo karibu nawe ukiwa na Cheti chako cha kuzaliwa ili kujiridhisha na kwenye fomu ya maombi ya maombi ulijaza mwaka gani, kisha utahudumiwa ipasavyo.

  139. Hello to all, the contents existing at this web page are actually remarkable for people experience,
    well, keep up the good work fellows.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Thanks

  140. Quality posts is the main to invite the people to visit the web site,
    that’s what this web site is providing.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Thanks

  141. Paschal k john says:

    Poleni na kazi ndg shida yangu ni kutaka kuipata namba yangu ya NIDA toka nilivyo andikishaga mwaka2021 mkoani Rukwa mpaka Leo sijawahi ipata nimekuwa nikiingia online najaza taarifa zangu naishiwa kuambiwa namba yako ya NIDA ni: basi haileti hzo namba naombeni mnisaidie nizipate wazee

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Tafadhali unaweza kupiga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu taarifa hiyo.
      au
      Fika kwenye ofisi ya nida ulikosajiliwa ili kufahamu iwapo Namba ya Utambulisho wa Taifa/Kitambulisho chako cha Taifa kimeshazalishwa.
      Shukrani.

  142. Boaz Simuntala says:

    Mngeweka mfumo ambao unaleta majina au orodha ya majina ya eneo nililoandikishia ili iwe rahisi maana hii najaribu inasumbua sana

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Tafadhali fungua kiunganishi (https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx. Ni njia nyingine ya kielektroniki unaweza kutumia au
      fika kwenye ofisi ya nida ulikosajiliwa ili kufahamu iwapo Namba ya Utambulisho wa Taifa/Kitambulisho chako cha Taifa kimeshazalishwa.
      Shukrani.

  143. asma says:

    Habari,
    nilijiandikisha na nida toka mwaka 2014/2015 na nimefanikiwa kupata namba yangu ya nida ila kitambulisho sijapata nimezunguka ofisi zote nilizoambiwa nieende dodoma lakini kote naambiwa kitambulisho changu hawakioni. sasa hapa utaratibu wake ukoje naanza upya kujiandikisha au nitoe loss report nitengeneze kitambulisho kipya au ?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      Unashauriwa kufanya mashauriano na Maafisa katika ofisi husika ili ikibidi wawasilishe ombi la kuchapishiwa Kitambulisho kingine.

      Shukrani.

  144. Emmanuel manga says:

    Nmeambiwa kitambulisho changu cha taifa kimefungiwa je shida ni nn siwezi ata kusajili lain

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Unashauriwa kuwasiliana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania kwa msaada zaidi yawezekana NIN yako imesajili namba nyingi na zinatumika vibaya. Shukrani.

  145. Edward Johansen says:

    Nilijiandikisha mwaka 2018 bukoba ila namba haikutoka nikajiandikisha tena Arusha 2023 ila tarifa zinagongana kwenye mfumo kwa hiyo naomba nifutiwe taharifa za mwaka 2018 nilijiandikisha kama (Edward Johansen mumilo) mwaka wa kuzaliwa 25-05-1995,ili niweze kupata namba Arusha.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      Tafadhali unaweza kupiga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu taarifa hiyo.
      Fungua kiunganishi (https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx. Ni njia nyingine ya kielektroniki unaweza kutumia au
      Fika kwenye ofisi ya nida ulikosajiliwa ili kufahamu iwapo Namba ya Utambulisho wa Taifa/Kitambulisho chako cha Taifa kimeshazalishwa.

      Shukrani.

  146. Vivian says:

    Napiga simu hazipokelewe. Nauliza ikiwa tarehe ya kuzaliwa ilikosewa kwenye kitambulisho cha NIDA nifuate hatua gani au nini kinahitajika ili nibadilishe?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Mwombaji anayehitaji kuboreshewa taarifa ya tarehe/mwezi wa kuzaliwa anapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya NIDA ya Usajili ya Wilaya:-

      i. Cheti cha kuzaliwa kilichopatikana awali na wazazi/walezi
      ii. Cheti cha kumaliza shule ya msingi,
      iii. Kadi ya Kliniki,
      iv. Cheti cha kumaliza shule za sekondari (Leaving Certificate),
      v. Nyaraka yoyote ya awali yenye kuthibitisha tarehe/mwezi wa kuzaliwa kabla ya kusajiliwa NIDA.
      vi. Iwapo nyaraka hitajika ulishawasilisha awali na ziko kwenye mfumo wa Utambuzi wa Watu wa NIDA, Afisa Usajili atafanya uhakiki kupitia taarifa ulizowasilisha awali zenye tarehe na mwezi unaohitaji usomeke.
      vii. Mteja unaombwa kutoa ushirikiano kwani ombi halitakiwi kupokelewa na Afisa Usajili iwapo nyaraka tajwa hazija ambatishwa/kukamilika.

      ix. Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho baada ya mwombaji kulipia shilingi 20,000/=

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake.

      1. Darius says:

        Habari majina yangu ya nida n kwenye vyeti vya masomo ni tofaut I je naweza badilisha Jina kwenye nida ili yafanane n vyet vyangu vya elimi

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Salaam Ndg.
          Maboresho ya Jina
          Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
          i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
          ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
          iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
          iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
          v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
          Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

          Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake.

      2. Delvin Francis says:

        Habari,ukiwa umekamilisha hizo nyaraka ili kuthibitisha kwamba unabadilisha taarifa za kitambulisho inatumia muda gan kupata namba mpya?

        1. Geofrey Tengeneza says:

          Salaam Ndg. Allendetry,

          Namba ya Kitambulisho huwa haibadiliki bali taarifa hubadilishwa ndani ya mwezi hadi miezi mitatu!

          Shukrani.

  147. David Thomas David says:

    Hivi ili upate kujiandkisha NIDA ni lazima ufike ofisi za wilaya au hata mtandaoni waweza kujiandikisha

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Ndg. Kujisajili Kimtandao, fungua kiunganishi https://eonline.nida.go.tz kisha fuata maelekezo yaliyopo kwa chini katika ukurasa wa kwanza. ukishajaza fomu na viambata wasilisha kwenye Serikali ya Mtaa kisha kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA katika wilaya unakoishi kukamilisha Usajili.

  148. Peter says:

    Nahitaji kupata namba ya nida nimeshafatilia na kukamilisha kila kitu lakini Bado sjatumiwa namba, je nifanye nini ili nipate namba ya nida?

  149. Jephter marco says:

    Mimi jephter marco mkazi wa mwanza,nilipeleka taarifa zote zinazohitajika ili kubadili jina kwenye namba ya nida lakini mpaka sasa bado sijabadilishiwa
    NN 19930924331190000721

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Je uliwasilisha maombi yako yakiwa na taarifa zote za msingi kama zilivyoainishwa hapo chini?
      Maboresho ya Jina
      Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
      i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
      iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
      iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
      v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
      Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake.

  150. VALENCE KAZAWARD says:

    Je naweza kufuta maombi ya NIDA yaliyo wekewa pingamizi kutokana na sehemu niliyo ombea NIDA kutorodhishwa na viambatanisho vyangu?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Hapana.

  151. Hassan says:

    Habari #1::
    nilitaka kurekebisha majina ya mama….kwa sababu wakati najiandikisha sikua na taarifa muhimu kuhusu yeye sasa nimezipata taarifa zake na nahitaji kurekebisha…

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      Kuna baadhi ya taarifa hazirekebishi hadi panapopatikana vithibitisho vya kujitosheleza moja wapo ni taarifa ya Wazazi, mahali pa kuzaliwa, majina mawili au la ukoo, saini, makazi ya kudumu n.k.
      Unashauriwa kuripoti kwenye ofisi ya Usajili ukiwa na vithibitisho.

      Shukrani.

  152. Salumu Mtonga says:

    Habari, kwa majina naitwa Salumu Musa Mtonga niko Mtwara, shida yangu kubwa ni kubadili taarifa za jina langu, ambapo wakati najaza fomu ya kuomba Kitambulisho cha Taifa mwaka 2015 niliambiwa jina la mwisho nijaze jina la ukoo ambalo ni MTONGA, lakini jina hilo halikutumika kwenye vyeti vya taaluma sababu ambayo inapelekea hivi Sasa naambiwa ni watu wawili tofauti.
    NIDA:SALUMU MUSSA MTONGA
    Vyeti vya taaluma ni:SALUMU MUSA SAIDI.
    Naomba msaada tafadhali maana nimeenda ofisi ya NIDA mkoa nimeambiwa niende na Kitambulisho cha NIDA, wakati huo Kitambulisho bado sijapewa Nina namba tu.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Maboresho ya Jina
      Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
      i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
      iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
      iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
      v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
      Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake.

      Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.

      1. Salumu Mtonga says:

        Sasa viambata vilivyoainishwa hapo na ninachoambiwa Mimi kupeleka mbona hakipo, watoaji wa vitambulisho ni nyinyi na Nina miaka 6 Sasa hivi sijapata kitambulisho na bado niendelee kusubiri Nini? Tunakosa huduma za msingi(Ajira na mengineyo) miaka inapita tu yaani hadi tunakata tu tamaa daaah.

  153. Bathon mlusi says:

    Nimejiandikisha mda mrefu na namba yangu sijapata nakosa kazi uku

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Tafadhali unaweza kupiga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu taarifa hiyo.
      Fungua kiunganishi (https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx. Ni njia nyingine ya kielektroniki unaweza kutumia au
      Fika kwenye ofisi ya nida ulikosajiliwa ili kufahamu iwapo Namba ya Utambulisho wa Taifa/Kitambulisho chako cha Taifa kimeshazalishwa.
      Shukrani.

  154. Christina says:

    Vyeti vyangu viliungua nahitaj nida namba nifanyaje

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Christina,

      Unashauriwa kufuatilia kwenye taasisi husika ili upatiwe vingine kisha urudi NIDA, kukamilisha Usajili.

      Shukrani.

  155. Denis Msigwa says:

    Habari NIDA,
    1• Nimefanya malipo kwaajili yakurekebisha taarifa za Kitambukisho changu. Je nitapewaje taarifa kama nikufika ofisi za NIDA wilaya?
    2• NAPIGA NAMBA ZAENU HUDUMA KWA WATEJA MMENI-BLOCK NAMBA YANGU NIKIPIGA NAMBA ZIKO BIZE ZOTE, Kwanini mfanye hivyo wakati sisi tunahitaji msaada.

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Denis Msigwa,

      Kitambulisho chako marekebisho yakiwa tayari utatumiwa sms au kupigiwa simu kufika kuvichukua.

      Shukrani.

  156. Denis Msigwa says:

    Kwakuomba Control Number Online nimekwishalipia kiasi cha pesa inayotakiwa, sijapigiwa simu yoyote, sijatumiwa SMS kwaajili yakufanyiwa marekebisho ya taarifa za kitambulisho, au kuambiwa ni lini nifike ofisini. Nifanyaje?

  157. Tumaini George says:

    Naomba kuuliza siku ya jumamosi huwa mnafungua ofisi??

  158. ANGELA JULIUS RAPHAEL says:

    Nina wki ya pili sasa tangu nijisajili kwa ajili ya kitambulisho cha nida, lakni nikienda ofisini kwao wananiambia namba yangu ya nida bado haijatoka na mtandao eti unasumbua….na mm nahtaj kupata namba hiyo haraka kwa ajili ya maswala ya shule..naomba msaada jamani

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa baada ya kukamilisha Usajili, anaweza kupatiwa Namba ya Utambulisho wa Taifa walau ndani ya muda wa kuanzia wiki na muda usiozidi mwezi iwapo ombi lake limeonekana kukidhi vigezo baada ya uhakiki kukamilika. Iwapo muda umezidi hapo uliza kwa Afisa Usajili katika ofisi ya NIDA, wilayani ili ujulishwe cha kufanya kwani yawezekana maombi yako yakawa na mapungufu kama vile kutokamilika kwa viambatisho n.k. Shukrani.

  159. Musa sagwa says:

    Je inachukua muda gani kubadilisha mwaka wa kuzaliwa?? Na vigezo gani wanatumia kujiridhisha kama makosa yapo upande MWa mlalamikaji au ya afisa??

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.
      Inachukua muda wa wiki mbili hadi mwezi.

      Kubadili jina na mwaka
      Mwombaji anayehitaji kuboreshewa taarifa ya mwaka wa kuzaliwa ombi litashughulikiwa kwa utaratibu hapo chini pamoja na kutakiwa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya NIDA ya Usajili ya Wilaya:-

      i. Cheti cha kuzaliwa kilichopatikana awali na wazazi/walezi
      ii. Cheti cha kumaliza shule ya msingi,
      iii. Kadi ya Kliniki,
      iv. Cheti cha kumaliza shule za sekondari (Leaving Certificate),
      v. Nyaraka yoyote ya awali yenye kuthibitisha mwaka wa kuzaliwa kabla ya kusajiliwa NIDA.
      vi. Ombi la mteja litawasilishwa kwenye kamati ya Usajili na Utambuzi wa watu, iwapo watajiridhisha kuwa ombi limekidhi vigezo ndipo watatoa kibali ili Afisa Msajili aweze kuendelea na hatua ya kufanya maboresho, ombi lisipokidhi vigezo, kibali hakitatolewa na

      vii. Afisa Msajili hatoweza kuendelea na hatua yoyote ya maboresho.

      viii. Mteja unaombwa kutoa ushirikiano kwani ombi halitakiwi kupokelewa na Afisa Usajili iwapo nyaraka tajwa hazija ambatishwa/kukamilika kwa Idadi tajwa.

      ix. Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi na Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika ya jina lako

      Shukrani.

  160. Abdilaj says:

    Naomba kupata namba yangu ya nida Abdilah Juma Mbarouk

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg

      FAHAMU NIN

      Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
      Ingia kwenye Tovuti ya nida (www.nida.go.tz), fungua neno kitambulisho cha taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au fika kwenye ofisi ya usajili ya wilaya iliyo karibu nawe.
      Shukrani.

  161. Alen Mujungu says:

    Hivi unaweza kubadili taarifa za nida bila kubadili zile zilizopo kwenye chetu cha kuzaliwa ambazo ulikitumia kuombea namba ya nida?

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      Inategemea nataarifa unayohitaji kurekebisha.

      Shukrani.

  162. said mohamed said says:

    habari samahani nahitaji kujua namba ya simu niliyoisajili na nida nimeisahau

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      Unashauriwa kuripoti kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi.

      Shukrani.

  163. yedida belias says:

    naomba kubadilisha majina yangu ya nida na mwaka wa kuzaliwa

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg.

      Maaboresho ya Jina

      Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
      i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
      ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
      iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
      iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
      v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
      Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake.

  164. Salum says:

    Nimejiandikisha mtandaoni lakini mpaka asaivi sijapata namba ya nida wala mlejesho

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Ulishaenda Ofisi ya NIDA wilayani kupiga picha na kuchukua alama za vidole?

  165. Fredrick mkala says:

    Mimi niliandikisha 2018 Iringa kipindi nipo shulr

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali Fungua link https://vitambulisho.nida.go.tz kujua kitambulisho chako kilipo

  166. Fredrick mkala says:

    Mimi niliandikisha 2018 Iringa NIN nishapata Kwa Sasa np Tanga nilimtu mtu anichukulie Akaenda office zote Wilayani Shule Nilikuwa nasoma Office za kata ,Kijiji hajakipata . Je je nifanyaje hp nipate Kitambulisho

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali Fungua link https://vitambulisho.nida.go.tz kujua kitambulisho chako kilipo

  167. Fredrick Joseph says:

    Mimi niliandikisha 2018 Iringa NIN nishapata Kwa Sasa np Tanga nilimtu mtu anichukulie Akaenda office zote Wilayani Shule Nilikuwa nasoma Office za kata ,Kijiji hajakipata . Je je nifanyaje hp nipate Kitambulisho

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Tafadhali Fungua link https://vitambulisho.nida.go.tz kujua kitambulisho chako kilipo

  168. David Osward says:

    Habari nahitaji namba yangu ya NIDA nilijiandkishia shule tarime hivi Sasa nipo Mbeya

    1. Geofrey Tengeneza says:

      tafadhali fungua link ifuatayo https://services.nida.go.tz kisha chagua Fahamu NIN halafu fuata maelekezo. Tafadhali fungua link ifuatayo https://vitambulisho.nida.go.tz ili kufahamu kitambulisho chako kilipo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Ukurasa wetu wa Facebook

Ramani ya Ofisi Zetu