Important notice for our Stakeholders
Please see the documents below Form No 1- Data Shsring or Access form for CIG services Form No 2 – Technical certified form Form no 4 – Portal Stakeholder Registration Form SDI-CONTENTS
MoreVitambulisho vya Taifa lulu kwa wananchi wa Kwimba
Wananchi wa Wilayani ya Kwimba wamejitokeza kusajiliwa Vitambulisho vya Taifa wakati zoezi hilo likiendelea. Mpaka sasa idadi kubwa ya wananchi wa Kwimba wameshasajiliwa huku mwitikio wa wananchi ukiongezeka na kuonyesha ni kiu ya wananchi katika kupata Vitambulisho cha Taifa. Afisa Usajili Wilaya ya Kwimba Ndg Nelson Liyenge amewakumbusha wananchi kujitokeza kwa wingi ili wasajiliwe kwa…
MoreUsajili washika kasi mkoa wa Arusha, waandishi kutoka vyombo vya habari watembelea vituo vya Usajili
Baadhi ya waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya Habari zikiwemo Televisheni na Magazeti Jana walitembelea vituo vya Usajili mkoa wa Arusha kuona hatua za usajili na mwitikio wa wananchi katika kupata haki yao msingi ya kikatiba ya kusajiliwa. Wananchi wa Mkoa wa Arusha wameendelea kujitokeza kwa wingi kujisajili Vitambulisho vya Taifa; huku idadi ya…
MoreTaarifa Kwa Umma
2024
2024
2024
Tufuatilie