Waziri Mkuu atembelea banda la NIDA katika maonesho ya Elimu ya Juu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa ametembelea banda la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) wakati akifungua maonesho ya 14 ya Elimu ya Juu, Sayansi na Teknolojia yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam ili kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa katika banda la maonesho la NIDA. Mhe. Majaliwa…
MoreTaarifa Kwa Umma
3 October
2024
2024
20 September
2024
2024
10 September
2024
2024
Tufuatilie