Kongamano la wadau kutoka sekta mbalimbali wakijadili kuhusu mradi wa Vitambulisho vya Taifa
Wadau kutoka Sekta mbalimbali nchini leo wamekutana katika kongamano maalumu kujadili suala la Vitambulisho vya Taifa na uwezekano wa kukamilika kwa mradi huo ili kuwezesha Taifa kuwa na Kanzidata(database) yenye taarifa sahihi zenye kujibu maswali makuu nani ni nani, yuko wapi na anafanya nini. Lengo ni kurahisisha utoaji huduma na kuwezesha wananchi kujishughulisha na masuala…
MoreTaarifa Kwa Umma
3 October
2024
2024
20 September
2024
2024
10 September
2024
2024
Tufuatilie