Kongamano la wadau kutoka sekta mbalimbali wakijadili kuhusu mradi wa Vitambulisho vya Taifa


Wadau kutoka Sekta mbalimbali nchini leo wamekutana katika kongamano maalumu kujadili suala la Vitambulisho vya Taifa na uwezekano wa kukamilika kwa mradi huo ili kuwezesha Taifa kuwa na Kanzidata(database) yenye taarifa sahihi zenye kujibu maswali makuu nani ni nani, yuko wapi na anafanya nini. Lengo ni kurahisisha utoaji huduma na kuwezesha wananchi kujishughulisha na masuala…

More

Taarifa Kwa Umma

Ukurasa wetu wa Facebook

Ramani ya Ofisi Zetu