Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), inapenda kuwatangazia na kuwakaribisha wananchi wote kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Kibiashara (40)
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), inapenda kuwatangazia na kuwakaribisha wananchi wote kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Kibiashara (40), SABASABA. Banda letu liko kwenye Banda maarufu “JAKAYA TENTS”. Tutembelee kupata huduma zifuatazo:- Usajili wa Awali, utakaohusisha uchukuaji wa alama za kibailolojia, picha na Saini ya Kielektroniki Fahamu muonekano mpya wa Vitambulisho vya Taifa vyenye saini…
MoreUsajili wananchi vitambulisho vya Taifa kukamilika nchi nzima Desemba 31 mwaka huu
Serikali imekusudia kukamilisha Usajili Vitambulisho vya Taifa kwa wananchi wote kufikia Desemba 31 mwaka huu. Akuzungumza na vyombo vya habari leo, msemaji wa Mamlaka ya Vitambulisho Bi. Rose Mdami, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Hifadhi Hati amesema NIDA imepanga kutumia taarifa za NEC kukamilimisha usajili wa awali na kutoa namba ya Utambulisho kwa…
MoreTaarifa Kwa Umma
2024
2024
2024
Tufuatilie