Wananchi wamiminika Sabasaba kusajiliwa Vitambulisho vya Taifa
Wananchi kutoka viunga mbalimbali vya Mkoa wa Dar-es-salaam wameendelea kumiminika katika Banda la Maonyesho la Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) lililopo kwenye hema la Jakaya Mrisho Kikwete kuchangamkia Ofa ya Kusajiliwa na kupata Vitambulisho vya Taifa, ndani ya siku za Maonyesho hayo yanayoendelea katika Viwanja ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mbali na kusajiliwa; baadhi…
MoreWATANZANIA WENYE SIFA KUPATIWA VITAMBULISHO NDANI YA SIKU ZA MAONYESHO YA SABASABA
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) tunawatangazia wananchi wote wakazi wa Dar-es-salaam ofa maalumu ya Usajili wa Vitambulisho vya Taifa wakati wa Sabasaba; ambapo kwa wale watakaokidhi vigezo watapatiwa vitambulisho vya Taifa ndani ya siku saba za maonyesho ya 41 ya Kimataifa ya Sabasaba. Huduma za Usajili zitafanyika kwenye banda la NIDA kuanzia tarehe 28 Juni…
MoreKuanza kwa kituo cha Huduma kwa Mteja (NIDA Call Center) ambacho kitakuwa kikihudumia wananchi wote nchi nzima wenye malalamiko, maswali, changamoto na shida mbalimbali kuhusu masuala ya Usajili na Utambuzi
Tunapenda kuwajulisha wananchi wote kuwa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imeanzisha kituo cha Huduma kwa Mteja (NIDA Call Center) ambacho kitakuwa kikihudumia wananchi wote nchi nzima wenye malalamiko, maswali, changamoto na shida mbalimbali kuhusu masuala ya Usajili na Utambuzi. Soma zaidi
MoreTaarifa Kwa Umma
2024
2024
2024
Tufuatilie