TENDER FOR SUPPLY, INSTALLATION AND MAINTANANCE OF ID PERSONALIZATION PRINTERS


view

More

Vitambulisho vya Taifa vyakusanya maelfu ya wananchi wa kata Masama mashariki wilaya ya Hai –Kilimanjaro


Zoezi la Usajili Vitambulisho vya Taifa mkoani Kilimanjaro limechukua sura mpya baada ya wananchi kuendelea kuhamasika na kufurika kwa wingi kwenye vituo vya Usajili kujisajili. wananchi wa Kata ya Masama Mashariki Wilaya ya Hai ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza kwa wingi wakiwa katika kituo cha Usajili kilichopo kwenye kijiji cha Mbweera, Mboreny, Sonu, Ngira na…

More

Usajili Mwanza; Wananchi wajitokeza kwa wingi Kusajiliwa


Usajili Vitambulisho vya Taifa katika mkoa wa Mwanza na wilaya zake umepamba moto, ambapo wananchi  kutoka Wilaya za  Kwimba, Ukerewe, Ilemela, Misungwi na Sengerema wamejitokeza kwa wingi kusajili. Kwa wananchi wa Wilaya Nyamagana, taratibu za kuanza kwa Usajili zinaendelea ambapo wataanza usajili  rasmi wiki hii. Katika kufanikisha zoezi hilo Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya,…

More

Taarifa Kwa Umma

Ukurasa wetu wa Facebook

Ramani ya Ofisi Zetu