Vitambulisho vya Taifa vyakusanya maelfu ya wananchi wa kata Masama mashariki wilaya ya Hai –Kilimanjaro
Zoezi la Usajili Vitambulisho vya Taifa mkoani Kilimanjaro limechukua sura mpya baada ya wananchi kuendelea kuhamasika na kufurika kwa wingi kwenye vituo vya Usajili kujisajili. wananchi wa Kata ya Masama Mashariki Wilaya ya Hai ni miongoni mwa wananchi waliojitokeza kwa wingi wakiwa katika kituo cha Usajili kilichopo kwenye kijiji cha Mbweera, Mboreny, Sonu, Ngira na…
MoreUsajili Mwanza; Wananchi wajitokeza kwa wingi Kusajiliwa
Usajili Vitambulisho vya Taifa katika mkoa wa Mwanza na wilaya zake umepamba moto, ambapo wananchi kutoka Wilaya za Kwimba, Ukerewe, Ilemela, Misungwi na Sengerema wamejitokeza kwa wingi kusajili. Kwa wananchi wa Wilaya Nyamagana, taratibu za kuanza kwa Usajili zinaendelea ambapo wataanza usajili rasmi wiki hii. Katika kufanikisha zoezi hilo Mkuu wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya,…
MoreTaarifa Kwa Umma
2024
2024
2024
Tufuatilie