emblem

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

Jisajili, Tukutambue, Tukutambulishe
Mabadiliko ya Taarifa za Makazi anayoishi Mwombaji

Mwombaji yoyote anayehitaji kufanya mabadiliko ya taarifa za makazi anahitajika kuwasilisha nyaraka zifuatazo:

a) Barua kutoka Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia anapoishi sasa na

b) Barua kutoka Serikali ya Mtaa/Kijiji alipokuwa anaishi kabla ya kuhamia kwenye Makazi mapya,

c) Aidha, katika kushughulika maombi ya marekebisho ya taarifa, Afisa Usajili anaweza akaomba nyaraka nyingine zozote zenye kuthibitisha taarifa ya Mwombaji, ambazo zinaweza zikamsaidia katika kutekeleza maamuzi yake kwa usahihi.


Muhimu: - ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake