Registration Requirements to Legal Residents.

Registration Requirements to Legal Residents on how to Acquire National Identification Card in Tanzania.

Comments on “Registration Requirements to Legal Residents.”

  1. Malema mhangala maiko says:

    Herufi ya moja la jina langu la katikati limekosewa ambalo ni NHANGALA linatakiwa kuwa MHANGALA namba yangu ya NIDA ni 19971201355340000129

    1. Geofrey Tengeneza says:

      Salaam Ndg. Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kwa msaada zaidi. Huduma ya kuboresha taarifa za mwombaji hufanyika ofisini na si kwa njia ya mtandao kwani mteja anahitajika kwa mahojiano zaidi na uhakiki wa nyaraka kujiridhisha juu ya ombi hilo.

      Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake,

      Kabla ya kufanya malipo ya huduma na utekelezaji wa hatua yoyote, unashauriwa kufika ofisini kwanza kupatiwa kibali cha kuendelea na malipo.

      Shukrani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Ukurasa wetu wa Facebook

Ramani ya Ofisi Zetu