Kupata Namba ya Kitambulisho cha Taifa (NIN) kwa kutumia simu ya mkononi
Comments on “Kupata Namba ya Kitambulisho cha Taifa (NIN) kwa kutumia simu ya mkononi”
Leave a Reply
Taarifa Kwa Umma
27 March
2024
2024
19 March
2024
2024
Kupata namba ya kitambulisho Cha taifa
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Nahitaji namba yangu ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Nida number
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
i need to request the number of nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Mimi naitwa MATHAYO M Olekoite natoka kijiji cha kapenjiro wilaya ya ngorongoro sijapata namba sangu za NIDA nimesaliwa kapenjiro kata ya Naiyobi nina miaka 29 naitaji namba sangu za NIDA mtendaji wangu ni Rinziki mwanyekiti wa kijiji ni saningo pilenanga balozi wangu ni mangilu longututi pia mama yangu ni masoi lowasa pia niwani ni ngeresa reteti
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Naomba mni tumie namba yangu ya nida majina yangu kamili ONESMO ONESMO NDOMBA Tar 18/8/2002
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Mimi FARAJI BASHIRU magambo nimezaliwa 09092000 ninaomba namba ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Naomba kutumiwa namba yangu ya nida
Nilijiandikisha kituo cha chang’ombe dar es salaam
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
I know the identification card number.
Naomba namba ya nida
Nimejiandikisha katoka kituo Cha kawe tangu tarehe 6/12/2021 itanichukua muda gani kupata namba ya nida?
I want to get my NIDA number
Febronia
Jinsi ya kupata NIDA naombeni mkakati nilipoteza
Salaam Ndg,
Kuchapishiwa Kitambulisho cha Taifa kingine baada ya kupoteza/ kuharibu cha awali
Kuna hatua mbalimbali zinazotakiwa kufuatwa na mwombaji aliyepoteza Kitambulisho cha Taifa ili kupatiwa kingine na kuna gharama kidogo mwombaji atatakiwa kuchangia. Hza kufuata ni kama zifuatazo:
Mwombaji unatakiwa kuwasilisha fomu ya polisi ya upotevu wa mali/vitu, katika ofisi ya usajili ya NIDA ya wilaya ulikosajiliwa ama iliyo karibu nawe ili upatiwe namba maalumu ya malipo ya benki (controll number),
Chukua namba maalumu ya malipo ya benki (control number) pamoja na akaunti ya benki ya CRDB, NMB na NBC. 0250440193000 ulizopatiwa NIDA na fanya malipo ya TZS 20,000/=. huduma ya kitambulisho cha kwanza ni bure, unapopoteza unapaswa kuchangia gharama.
Wasilisha fomu ya polisi ya upotevu wa mali na risiti ya malipo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA kukamilisha taratibu zilizosalia za kuanza kuchapwa kwa Kitambulisho kipya.
JINSI YA KUPATA CONTROLL NUMBER KWA NJIA YA MTANDAO
Tafadhali fungua linki:- https://services.nida.go.tz (self Service/Jihudumie. Ama fungua tovuti ya NIDA http://www.nida.go.tz kisha bofya (click) Neno Kitambulisho cha Taifa kwenye Menyu kuu na endelea kufuata maelekezo.
Shukrani.
Habari naitwa Catherine, nipo Arusha
Nahitaji kitambulisho cha NIDA
Vielelezo nilivyonavyo ni
a)kitambulisho cha Kura
b)zssf
Hivyo vingine sina wala vya Baba na mama sina
Je?? Naweza kupata kitambulisho
Salaam Ndg. kwa vile vya lazima unapaswa kwenda taasisi husika kuanza mchakato wa kuvipata kama cheti cha kuzaliwa fika ofisi za RITA. nyaraka za mzazi iwapo cheti cha kuzaliwa ama kitambulisho cha taifa hakuna tafadhali utakapofika ofisini kwetu watakushauri zaidi juu ya nini cha kufanya baada ya mahojiano. hakikisha unafika baada ya kupata cheti chako cha kuzaliwa. Shukrani
Nawezaje kupata namba yangu ya kitambulisho cha taifa?
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Yani hizo namaba zetu za huduma kwa wateja bora mzifute tu maan hata hawapokei simu sijui wana shida gani yani bas tu ngoja niishie hapo
Tafadhali vuta subira kwani kuna mteja mwingine yuko hewani anahudumiwa pindi akimaliza simu yako itapokelewa. Shukrani
Okay
Sielewi jinsi ya kupata namba ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Nimesahau nida namba yng kitambulisho nimepoteza
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba kupata namba yangu ya NIDA
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Majidi martini kariatu
karibu tukuhudumie.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba kutambua Kama ninaweza nikajisajili na kapata namba ya nida online
Naomba kupata namba yangu ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba kupata identity card ya NIDA
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo Kitambulisho Kimeshazalishwa
Tafadhali fika kwenye Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au unaweza kupiga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimeshachapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.
Iwapo utafahamishwa kuwa NIN/Kitambulisho chako bado hakijazalishwa, utatakiwa kuendelea kusubiri huku ukifanya ufuatiliaji baada ya muda. Kwa mwenye uhitaji wa haraka unatakiwa kuwasilisha ombi na vielelezo vya kuthiitisha sababu ya uharaka ulionao kwa Afisa Usajili.
Shukrani.
Naomba mnisaidie jinsi yakupata namba yangu ya nida nliipoteza
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Mbn najaza hzo taarifa kwa usahihi ila hawanipi
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
tafadhali tumia njia nyingine. yawezekana kuna mahali unakosea bila wewe kujua.
Kitambulisho changu kimekosewa saini, nafanyaje
Salaam Ndg. Richard, Tafadhali fika kwenye ofisi ya Usajili kuwasilisha ombi lako. iwapo litaafikiwa na kupitisha na kamati husika ndipo Afisa Usajili atapewa kibali cha kuendelea na taratibu za mabadiliko. lakini kumbuka saini haikosewi kwani ni wewe mwenyewe umeweka, labada kama unamaanisha unahitaji kubadilisha saini. Shukrani.
Tafadhali fika kwenye Ofisi ya USajili iliyo karibu nawe. Aidha Afisa Usajili ataendelea na hatua za kubfanya mabadiliko iwapo kibali kimetolewa na kamati maalumu. saini inabadilishwa kwani mtu huwezi kukosea saini.
Nilikuwa naomba kufahamu namba ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Marco George Komanya
Naomba kufahamu namba yangu ya Nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Nahitaji kupanta namba yangu nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Habari,naomba msaada wa namna ya kupata Namba ya NIDA.Tangu nimejiandikisha sijawahi kupata namba.
Napatikana; Mkoa-KAGERA
Wilaya-Misenyi
Kata-Nsunga
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naitaji kujuwa number yangu ya kitambulisho
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Pamoja nida
Karibu.
Nijue wap kitambulisho changu cha nida kinapatikana kwa wilaya ya urambo tabora.
Mbona najaza taarifa zangu kwa usahihi kama ilivyoelekeza lakini sipati namba ya nida pia namba zote mnazotoa kwa ajili ya msaada zaidi mbona zote hazipatikani?
Unaweza kufikiri unajaza kwa usahihi lakini ikawa sivyo. jaribu njia zote ikiwemo ya kufika ofisi ya Usajili iliyo karibu nawe kwa msaada zaidi. Shukrani.
Nashida na kitambulisho cha nida
Salaam Ndg. Rameck, je umeshasajiliwa?
Jaman mm nashangaa utalatbu wenu wote haukubal na namba zote za watoa huduma hazipatkan
Kwa msaada zaidi unaweza kufika ofisini.
Hata kama still number ni nyingi lkn zote hazipatikani na hata ikipayikana moja basi haipokelewi shida nini? Issue sio kwenda ofisini issue ni hzo online services ziboreshwe vingine ni emergency! Imagine nataka kubadilisha signature I just need to know vtu gani mnataka ili nikija nije nikiwa kamili! Sio mtu anaenda hadi ofisin kuulizia tu utaratibu seriously?
Salaam Ndg.
Utnatakiwa kufika kwenye Ofisi ya Usajili Wilaya iliyo karibu nawe na kuwasilisha ombi lako kwa kujaza fomu Na. 3 ambapo utapata fursa ya kuonyesha saini yako mpya ungependa ionekane vipi na kuambatisha nyaraka zenye taarifa ya saini ya awali. Afisa Usajili atawasilisha ombi lako kwenye kamati ya Usajili na Utambuzi wa watu kwa kibali. kamati ikijiridhisha na kupitisha ombi lako ndipo mabadiliko yatafanyika.
Muhimu:- ombi lako linaweza kukubaliwa ama kukataliwa kutegemeana na uzito wa sababu uliyotoa na nia ya kutaka kubadili saini.
shukrani.
Salaam Ndg.
Unatakiwa kufika kwenye Ofisi ya Usajili Wilaya iliyo karibu nawe na kuwasilisha ombi lako kwa kujaza fomu Na. 3 ambapo utapata fursa ya kuonyesha saini yako mpya ungependa ionekane vipi na kuambatisha nyaraka zenye taarifa ya saini ya awali. Afisa Usajili atawasilisha ombi lako kwenye kamati ya Usajili na Utambuzi wa watu kwa kibali. kamati ikijiridhisha na kupitisha ombi lako ndipo mabadiliko yatafanyika.
Muhimu:- ombi lako linaweza kukubaliwa ama kukataliwa kutegemeana na uzito wa sababu uliyotoa na nia ya kutaka kubadili saini.
shukrani.
Please assist to get NIDA
Greetings, What exactly do you want. would you please elaborate your question.
Tanx
Ineed nida number
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
I need to know my NIDA number
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Ineed a national nida number and identification card
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Ineed national identification card
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba kupata namba yangu ya nida namba namba yangu ya simu 0785653111
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Hizo namba mnatoa kwaupendeleo??? Maana nimalanne nnajiandikisha nikisubilia namba hatasipati nikienda kwenye ofsi napo wananiambia nianze upya mie niwakunzaga upyatu hatanamba sipati nahatakama nnakosea kukosea kujaza taarifa nikukosea gani malazote hizo jamani???? Nikijari kutizama kwanjia yasim labda namba imeshakuwa teyari nnakuta hamnakitu!!! Nikipiga nambazenu hizo zahuduma kwawateja hampokei hata Simu au namba bize kutwanzima!!!! Nifanye sasa ilinamie mwezekunipatia hiyo namba ya NIDA??????
Tafadhali rejea kwenye ofisi ya Usajili kupata msaada zaidi. ukifika uliza sababu ya kulazimika kurudia kusajili kwani yawezekana hujapata namba hadi leo sababu ya kujisajili zaidi ya mara moja. Shukrani.
Salaam Ndg. Jackson, Karibu kwenye ukurasa wetu wa tovuti tukuhudumie.
i need to get my NIDA number .. kila nikiingiza information zangu zinaniambia Tafadhali Jaribu tena baadae
Salaam Ndg,
Unaweza kutumia njia nyingine zaidi katika mwongozo huu, kufahamu iwapo NIN yako imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
mimi nilijiandikisha nida 2018 mbeya nikiwa shule ila kila nikiangalia nilikua naambiwa namba haipo lakini nimekuja kwnda pale ofisi zenu za ilala kuangalia wakakuta number ipo il imekosewa wakaniambia niwape taarifa za muhimu watafatilia rudi next week nimerudi lakin bado hivi naandika ni miezi sita bado na leo nimeenda nimemkuta huyo mama alichonifanyia ni embarassing tu na kamaliza kwa kuniambia inabidi niende mbeya huko huko wenyewe walikua wananisaidia tu sio kazi yao it means. ila yote hayo naomba mnisaidie nashindwa kufanya mambo mengi kwa sababu ya nida au kama kuna uwezekano wafute details zangu zote nikotayari kufata procedures upya.
Salaam Ndg. Emmaculatha, tafadhali unaweza pia kuwasilisha ombi lako kwenye kaunta ya NIDA iliyoko Jengo la Posta na Simu, Posta Mpya , Dar es Salaam kwa msaada zaidi.
Salaam Ndg. Emmaculatha, tafadhali fika kwenye kaunta ya NIDA, iliyoko Jengo la Posta na Simu kwa utatuzi zaidi. Shukrani.
EMANUEL ABELI
MALIAMU MISALABA
Salaam Ndg. Emanuel, karibu kwenye ukurasa wa tovuti ya NIDA, tukuhudumie!
Salaam Ndg. Samwel, Unashauriwa kufika kwenye ofisi ya msajili kwa msaada zaidi.
Shukrani.
Mamba yangu ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba msaada namna ya kujiandikisha online ili nipate namba ya nida
Salaam,
Jisi ya Kujaza Fomu ya Ombi la Utambulisho wa Taifa:-
Jaza fomu kwa kalamu ya wino mweusi na kwa herufi kubwa (sifa mhusika uwe na umri miaka 18 na zaidi), inayopatikana kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA Wilaya/Serikali ya Mtaa/Kijiiji/Sheia unakoishi ama kwenye Tovuti yetu http://www.nida.go.tz
Jaza taarifa za kweli na kwa usahihi zikiwemo za majina,
Hakikisha una saini fomu yako ya Ombi la Utambulisho wa Taifa kwenye kipengele Na.59/60,
Gonga muhuri fomu yako ya Utambulisho wa Taifa kwenye Serikali ya Mtaa unakoishi miezi 6 na zaidi kipengele na. 60.
Baada ya kukamilisha kujaza fomu ya Ombi la Utambulisho wa Taifa, unatakiwa kuambatisha viambatisho vya kutambulisha uraia, umri na makazi kama vile:
i. Cheti cha kidato cha nne ( iv),
ii. Cheti cha kidato cha sita (vi),
iii. Cheti cha elimu ya msingi,
iv. Kadi ya bima ya afya,
v. Pasi ya kusafiria,
vi. Leseni ya udereva,
vii. Namba ya utambulisho wa mlipa kodi (tin),
viii. Kitambulisho cha mzanzibar mkaazi,
Unapo ambatisha viambatisho hivyo, hakikisha vifuatavyo havikosekani kwani ni vya lazima:
i. Cheti cha kuzaliwa (lazima),
ii. Barua ya utambulisho wa makazi kutoka Serikali ya Mtaa unakoishi mwombaji (lazima) pamoja na
iii. Nyaraka ya kutambulisha uraia wa wazazi:- cheti cha kuzaliwa au Kitambulisho cha Taifa.
Fika Ofisi ya Usajili ya NIDA kukamilisha Usajili ili taarifa za kwenye fomu ulizozijaza ziingizwe kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu.
Naomba kupata namba ya nida yenye utambuzi ufuataojina tegemea andason kibiki
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba kupata namba ya nida yenye utambuzi ufuataojina tegemea andason kibiki
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Mimi nshafanya hvyo lakini wamenitumia ujumbe kuwa nipige namba za mawasiliano Yao wakanitumia namza zao kma nne hivi lkn kyk namba hizo zote namba tatu hazipatikani Ila moja ndo inapatikana na inaita lkn haipokelewi Sasa sijui nifanyeje.
Salaam Ndg. Je umeeleza umefuata maelekezo juu ya kufanya kitu gani?
Kaka ikiingia online kuangalia namba unaambiwa ulipie na izo namba za huduma hazpatkan ila moja tu ndio inaita lkn haipokelew
Salaam Ndg. unaweza kufika ofisi ya Usajili, yoyote iliyo karibu nawe kwa msaada zaidi. Shukrani.
Naitaji kupata kitambulisho cha Taifa.Nina number ya NIDA tu hapa
Salaam Ndg. fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.
Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.
Shukrani.
Nahitaji nakala/copy ya kitambulisho cha nida. Vipi naweza ipataje kupitia online?
Salaam Ndg. huduma inayotolewa ni ya Kitambulisho halisi. tafadhali fuatilia ukipatiwa ndipo utadurufu, tafadhali fika Ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.
Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.
Shukrani.
Wengine tushajiandikisha ila tuko mbali tulipojianfikishia vp tunapataje huduma ya kupata namba ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba msaada wa kupata namba ya nida niko mbali na nilipojisajilia
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naitaji namba yangu ya NIDA naweza ipata
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naomba kujua namba yangu ya kitambulisho nabipata vip
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Habar mimi nilipoteza kitambulisho na taratibu zote nilifuata mpaka kulipia lakini kila nikienda wilayani ambapo ndo nimeenda kufuatilia taratibu ya kukipata tena naambiwa bado tangia mwaka jana inafika miezi saba mpaka sasa
Salaam Ndg. Thabit, tunaomba vuta subira kidogo utafikiwa hivi punde. Shukrani.
Nimepoteza namba yangu ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Nimejiandikisha nida lakini kila nikiweka taarifa zangu ili nipate namba yangu laikini kila nikijaza naambiwa taarifa si sahih, nini tatizo?
Salaam Ndg, jaza taarifa kwa usahihi.
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani
Richady hamady mushi
Karibu tukuhudumie.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Richady hamady mushi
Natamani kuwa nakitambulisho changu nisha jaza fom napicha nisha pigwa nasubiritu namba ili nisajili laini kialali
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096,
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Habari,
Nadhani huo utaratibu unaosema hapo katika namna ya kujua au kupata namba yako ya NIDA una shida maana hauleti majibu zaidi ya kusema “Unable to fetch NIN from NIDA”
Nimejaribu hata kuangalia namba kwa mtu aliyenayo hapa na bado inasema hivyo. henu angalieni Uhalisia wa hiyo njia kama inasaidia au la
Unaweza kuendelea kujaribu, ama kutumia njia nyingine katika zilizo orodheshwa hapo juu.
Salaam, tafadhali endelea kujaribu bila kuchoka kwani huleta majibu kwa wengi. unaweza pia kutumia njia nyingine zaidi katka ulizotumiwa. Shukrani.
HIVI KWANINI NMEJIANDIKISHA MWEZI WA PILI HADI SASA WILAYA YA INYONGA LAKINI MIEZI MIWILI IMEPITAAAA HAWATAKI KUPELEKA FORM ETI HADI UWAPE ELF 60
Salaam Ndg. Inyonga ni Kata ya Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, yawezekana kuna utaratibu endelevu ambao watendaji wanansajili wananchi wa eneo husika na baada ya kufikia idadi kadhaa ndipo wanaziwasilisha kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA kwani si rahisi kupeleka fomu moja moja ya kila mteja kila siku. Shukrani
Greetings Mr. Erick, you are welcome!
Excеllent post. I used to be checking continuouѕly this bⅼog and I’m inspired!
Eхtremely useful information specifically the closing phase 🙂 I maintɑin such
informɑtion much. I was ѕeeking this certain іnfo for a very lengthy time.
Thank you and best of lucҝ.
Thanks for your compliment.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwa
nja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096 (hii ni mbadala wa USSD *152*00……Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
You really make it seem so easy with your presentation but I find
this matter to be really something that I think I would never
understand. It seems too complex and extremely broad for me.
I’m looking forward for your next post, I’ll try to get the hang of it!
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwa
nja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096 (hii ni mbadala wa USSD *152*00……Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
These are genuinely wonderful ideas in on the topic of blogging.
You have touched some fastidious things here. Any way keep up wrinting.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwa
nja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la 1*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la 1 la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya nida, kisha tuma kwenda na. 15096 (hii ni mbadala wa USSD *152*00……Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la haitoleta majibu)
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006, 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
I’d like to find out more? I’d like to find out some additi᧐naⅼ information.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Thankfulness to mʏ fathеr who stated to me regɑrding this
web site, this weblog is in fact remarkaƄle.
Salaam Ndg. Huduma zetu hutolewa kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 01:30 asubuhi hadi saa 09:30 mchana. Karibu. Tafadhali vuta subira kwani wakati unasubiri kuna mteja mwingine yuko hewani akipatiwa huduma kwa njia ya simu. Shukrani.
Somebodʏ essentially help to make critically articles I’ⅾ state.
That іs the veгy first time I frequеnted your weƄ page and tо this point?
Ӏ surprised with the research you made tߋ make this
actuaⅼ puƅlish incredible. Wondeгfuⅼ task!
Salaam Ndg. Huduma zetu hutolewa kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 01:30 asubuhi hadi saa 09:30 mchana. Karibu. Tafadhali vuta subira kwani wakati unasubiri kuna mteja mwingine yuko hewani akipatiwa huduma kwa njia ya simu. Shukrani.
Ꮋі theгe, just wanted to tell yoᥙ, I enjoyed this blog post.
Ӏt was funny. Keep on postіng!
Salaam Ndg. Huduma zetu hutolewa kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 01:30 asubuhi hadi saa 09:30 mchana. Karibu. Tafadhali vuta subira kwani wakati unasubiri kuna mteja mwingine yuko hewani akipatiwa huduma kwa njia ya simu. Shukrani.
Fаntastic goods from уou, man. I’ve have in mind your stuff ⲣгevious to and you’re just еxtremely fantastic.
I aсtually like what you have got right here, certainly like ԝhat you’re saying and the way wherein үou are saying it.
You make it enjoyable and you ϲontinue to care for tօ keep it sensible.
I cant wait to read muсh more from yοu. This is actually a wonderful site.
Salaam Ndg. Huduma zetu hutolewa kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa, kuanzia saa 01:30 asubuhi hadi saa 09:30 mchana. Karibu. Tafadhali vuta subira kwani wakati unasubiri kuna mteja mwingine yuko hewani akipatiwa huduma kwa njia ya simu. Shukrani.
І was able to find good information from your artiⅽles.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Greate ρost. Keеp ԝriting such kind of information on your site.
Im really impreѕsed by your blog.
Hey there, You’ve performed a fantastic јߋb. I
will definitely digg it and individually recommеnd to my friends.
I’m sure they’ll be benefited from thiѕ web site.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Aweѕome bloɡ! Do you have any suggestions for aspiring writerѕ?
I’m planning to start my own website soon but I’m a little lost on everything.
Wouⅼd you propose ѕtarting with a free platform like
Wordpress or go for a paid option? There are so many options out there that I’m completely confused ..
Αny recommendations? Blеss you!
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
It’s not my fіrst time to go tο ѕee this website, i am visiting this website dailly and get good facts from herе every day.
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Fantastiс blog! Do you have any recommendations for aspiring writerѕ?
I’m planning to start my օwn site soon but I’m a little lost on everything.
Would you advise starting with a free ⲣlatform
like WordPress or go for a paid option? There are so many options out there tһat I’m completely overwhelmed ..
Any recommendations? Bless you!
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Ꮇy spouse and I stumbled over here coming from a ⅾifferent
page and thought I may as well check things out. I like what I see so noᴡ i’m folⅼowing you.
Look forward to checking out your web page again.
Salaam Ndg. Karibu kwenye ukurasa wetu tukuhudumie kwa kukupatia elimu juu ya Usajili na Utambuzi wa Watu ambao matokeo yake ni kutoa Utambulisho wa Taifa (NIN) na hatimaye Kitambulisho cha Taifa kwa raia, wageni na wakimbizi wanaoishi nchini kihalali wenye umri wa miaka 18 na zaidi. Shukrani.
Nimeandikisha vitu vyote likin cjapata number yangu ya nida . tatizo nini sasa maana nimetafuta online mpaka nmetired
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza*jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda Na. 15096.
Mfano wa sms:- Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Nahitaji copy ya kitambulisho changu lakini kila nikiingia kwenye hii link hamna kinachoendelea ni complications nyingi sana tu ( http://www.nida.go.tz)
Nifanye nini ili nipate
NAKALA TEPE MTANDAONI
Salaam Ndg.
Huduma inayotolewa ni ya Kitambulisho halisi, tafadhali fuatilia kwa kufika kwenye ofisi ya Serikali ya Mtaa/Kijiji/Sheia/NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.
Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.
Aidha huduma kwenye taasisi zilizounganisha mfumo wao na wa NIDA, hutolewa pia kwa mteja iwapo ana Namba ya Utambulisho wa Taifa (NIN).
Shukrani.
Keеp this going pleɑse, ցreat job!
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Ingia kwenye uwanja wa kutuma ujumbe mfupi wa maneno (sms), kwenye simu yoyote ya kiganjani kisha andika jina lako la kwanza *jina la mwisho*tarehe mwezi mwaka wa kuzaliwa*jina la kwanza la mama*jina la mwisho la mama kama ulivyojaza kwenye fomu ya Usajili ya NIDA, kisha tuma kwenda na. 15096.
Mfano wa sms: Juma*Alli*02051995*Mariamu*Mwakabile (hakikisha unajaza taarifa kwa usahihi la hutopata jibu),
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na: 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Unaweza kutuma ombi lako https://demo.emalalamiko.egatest.go.tz/complaint ili kuangaliziwa moja kwa moja kwenye mfumo wa Usajili na Utambuzi wa Watu
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua link -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukran.
Naitaji namba yangu ya nida majina lugano gaudance ambilikile nitumiwe kwenye email allendominic595@gmail.com au namba zangu 0734132567
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Utambulisho wa nida
https://nida.go.tz/swahili/index.php/2022/08/29/fahamu-namba-yako-ya-utambulisho-wa-taifa-niniwapo-imeshatoka-popote-ulipo/
Nahitaji namaba yangu ya ninda nifanyeje ili nii pate
Salaam, unaweza tumia mwongozo huu kufahamu iwapo NIN yako imeshazalishwa. https://nida.go.tz/swahili/index.php/2022/08/29/fahamu-namba-yako-ya-utambulisho-wa-taifa-niniwapo-imeshatoka-popote-ulipo/
Naulizia Kama vitambulisho vya nida vilishatoka maana Mimi sijapata bado
Salaam Ndg. Tafadhali unashauriwa kufika Ofisi ya NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.
Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID kwa haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.
Shukrani.
Nnahtaji namba ya NIDA ntaipataje
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Je,kunauwezekano wa kubadili mpangilio wa majina yangu yaliyokosewa yaani jina la mwisho liwe la kati na la kati lirudi mwisho?
Salaam Ndg.
Maboresho ya Jina
Ili ombi lako lifanyiwe kazi juu ya maboresho ya jina, unapaswa kuwasilisha nyaraka zifuatazo kwenye ofisi ya Usajili ya NIDA:-
i. Kadi ya kliniki, tangazo, cheti cha kuzaliwa, cheti cha darasa la vii, kidato cha iv ama ‘leaving Certificate’
ii. Kiapo ‘Deedpoll’ kilichotolewa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi.
iii. Tangazo la gazeti la serikali lenye taarifa ya mabadiliko husika,
iv. Iwapo utaombwa nyaraka nyingine na Afisa Usajili ya kuthibitisha umri utatakiwa kutoa ushirikiano,
v. Mabadiliko yoyote ambayo hayana ushahidi wa nyaraka sahihi na zote zilizo orodheshwa hayatapokelewa wala kuruhusiwa kufanyiwa kazi.
Iwapo makosa yamefanyika upande wetu, Afisa Usajili atajiridhisha na kuendelea na maboresho pasipo kulazimika kulipia gharama yoyote lah utapaswa kulipia shilingi 20,000/=
Muhimu:- ombi la mteja linaweza kuafikiwa ama lah kutegemea na sababu na nia ya mteja kutaka kufanya maboresho ya taarifa zake.
Naomba kupata mamba ya nida waheshimiwa
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Ngugu,
Naitwa Fakiri Juma Chacha, nilibadili taarifa zangu za NIDA zilizokuwa zimekosewa awali(tarehe ya kuzaliwa na majina). Nilitembelea ofisi za NIDA nikapewa control number, nikalipia Kisha nikabadilishiwa taarifa, mhudumu alisema taarifa zitabadilika baada ya wiki Moja, Sasa zimepita wiki sita, bado sijajua ka zimebadilika au la. Je nitawezaje kujua taarifa zimebadilika ?. Naomba kusaidiwa tafadhali.
Salaam Ndg. Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx
Shukrani.
Nahtaji copy ya kitambulisho cha nida kwani mpaka leo niko nanamba tu
Salaam Ndg.
Huduma ya Nakala Tepe Mtandaoni imesitishwa kitambo, inayotolewa ni ya Kitambulisho halisi. Tafadhali fuatilia kwa kufika kwenye ofisi ya NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.
Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.
Aidha huduma kwenye taasisi zilizounganisha mfumo wao na wa NIDA, hutolewa pia kwa mteja iwapo ana Namba ya Utambulisho wa Taifa (NIN).
Shukrani.
Nahtaji copy ya kitambulisho cha nida kwani mpaka leo niko nanamba tu
Salaam Ndg.
Huduma ya Nakala Tepe Mtandaoni imesitishwa kitambo, inayotolewa ni ya Kitambulisho halisi. Tafadhali fuatilia kwa kufika kwenye ofisi ya NIDA ulikosajiliwa au piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu iwapo Kitambulisho chako kimechapishwa na kilipopelekwa kwa ajili ya kukichukua.
Mwombaji wa Utambulisho wa Taifa (NID) ambaye bado kupatiwa Kitambulisho cha Taifa, unatakiwa kusubiri na kufanya ufuatiliaji baada ya muda kidogo kupita. Iwapo unahitaji NID haraka, wasilisha ombi na vielelezo vya kuthibitisha uharaka ulionao kwa Afisa Usajili kwa hatua zaidi.
Aidha huduma kwenye taasisi zilizounganisha mfumo wao na wa NIDA, hutolewa pia kwa mteja iwapo ana Namba ya Utambulisho wa Taifa (NIN).
Shukrani.
Naomba msaada wa kuipata namba yangu ya nida
Salaam Ndg,
Kufahamu iwapo NIN imeshazalishwa
Tafadhali piga simu kwenye Kituo cha Huduma kwa Mteja Na:- 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666,
Ingia kwenye tovuti ya NIDA (www.nida.go.tz), fungua neno Kitambulisho cha Taifa kwenye menyu kuu kisha fuata maelekezo au fungua kiunganishi (link) -https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx au
Fika kwenye Ofisi ya Usajili ya NIDA katika Wilaya iliyo karibu nawe.
Shukrani.
Paulo ndukai Laizer
Salaam Ndg.
Karibu tukuhudumie!.
Shukrani.
Kila nikijaribu kuingia nichukue namba ya nida naambiwa connection is not private
Unashauriwa kujaribu njia nyingine katika ulizotumiwa. Shukrani.
Ndg naomba msaada wa kupata namba yangu ya nida
Salaam Ndg.
Tafadhali unaweza kupiga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu taarifa hiyo.
Fungua kiunganishi (https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx. Ni njia nyingine ya kielektroniki unaweza kutumia au
Fika kwenye ofisi ya nida ulikosajiliwa ili kufahamu iwapo Namba ya Utambulisho wa Taifa imeshazalishwa.
Shukrani.
Naomba kufahamu Namba Yangu ya Nida tafadhali, majina Yangu Leah Kidayi tarehe ya kuzaliwa ni 15 February 1992 Jina la mama Joyce Abdala.
Salaam Ndg.
Tafadhali unaweza kupiga simu kwenye kituo cha huduma kwa mteja 0752 000 058, 0687 088 888, 0777 740 006 au 0677 146 666 kufahamu taarifa hiyo.
Fungua kiunganishi (https://services.nida.go.tz/nidportal/get nin.aspx. Ni njia nyingine ya kielektroniki unaweza kutumia au
Fika kwenye ofisi ya nida ulikosajiliwa ili kufahamu iwapo Namba ya Utambulisho wa Taifa/Kitambulisho chako cha Taifa kimeshazalishwa.
Shukrani.